Nimeona tangazo kwene.group la whatsap kwamba NACTE wametoa tangazo kua mwene.D ya Biology na D zingne tatu ataruhusiwa kusoma hyo course kwa mwaka mmoja alaf anaajiriwa...NAOMBA MSAADA KWA ANAEFAHAMU HABAR HIZI MAANA MIMI NMEINGIA NACTE LAKIN SIJAONA HILO TANGAZO