lupe leonard
Member
- May 29, 2016
- 53
- 15
Textile engineering,niliskia practice mnafanyia kwenye cherehani[emoji23][emoji23][emoji23]
Sio utani mkuu kuna uzi humu unaelezea watu walikua wanahama sana hii kozi kwa sababu ya mambo kama hayo ya cherehani