Movement zake ni Muhimu , kuna mtu mkoja tu CCM kwa sasa ndio tatizoKuna ukweli ndani yake! Hakuna cho chote Lissu atafanya kwa sababu hana dola na sana sana akizidisha kelele huenda wanaweza kumdhurumu uhai wake.
Nchi hii imeshikiliwa na kuongozwa na mashetani!
Ni Muaminifu sanaWatu genius ni kama mpango........amechungulia akaona jinsi palivyo pa hovyo .........jumba jeupe halina tena mpangilio ..........wasiokuwa watumishi ndio wanageuka final say.......hivi je tutafika huko tuendako??huyu mzee kwakuwa sio mtu wa kujichanganya sana na hadhira ila naamini angekuwa anakula gambe basi kuna siku kooo lingemuwasha akafunguka kinaga ubaga.............na hii ndio safi.......mzee kaondoka kimya bila kutaka sifa au kuchafua mikono yake kwa yasiyo muhusu.........kongore mzee baba.........vita umeishinda bila kutumia gharama ........ubarikiwe
Hili ni swali au statement?Kwa mfano upi wengine wanao
Tunatofautiana umri wa kuzeeka. Wapo wanaozeeka wakiwa kuanzia miaka 45+ na wengine hata wawe na 70+ wanakuwa vyuma kwelikwelimiaka 67 ya Mpango linganisha na miaka 80 ya Wassira.
Huyo atakuwa hajaomba kupumzika bali kapumzishwa!
wewe ni miongoni mws waongo hatari sana kwenye nchi hiiKwa taarifa zisizo RASMI( unpublished data) ni kwamba Dr Mpango amekuwa haridhishwi na namna nchi inavyopelekwa kwa sasa hasa kwenye uwekezaji wa resources .
Kwa mfano, uwekezaji wa DP world Tangu ile Safari ya Dubai, Dr Mpango alikuwa against na process nzima, resources za nchi zinaenda kuamuliwa kwenye expensive hotels na restaurants kwa watu ambao hawakuwa na good reputation. Hata kipindi cha mjadala, Dr Mpango hakuwahi hata siku moja kucomment anything about DP world maana alijua ni . HASARA nyingine kwa taifa. DP world ni another SCAM , wake up !!!!!!
Aidha, Ishu ya Adani group inayopigiwa debe na kafulila kwa sasa, nyuma ya huyo Muhindi kuna Big Dogs tayari wapo set up.. mchakato mzima Mpango anaujua na una interest za nani ... na wala sio interest za nchi…. Dili la Adani tayari lina pre contract kama ilivyokuwa DP world haya mambo yote ni chukizo kwa Dr kwakuwa zinalenga kunufaisha wachache na sio Watanzania
The Royal Tour ni another SCAM na matumizi mabaya ya fedha za Umma unnecessary, return ya Royal tour was worthless against expenditure , matumizi ya namna hii Mpango amekuwa kinyume nayo na mara nyingi amekuwa kama ameisusia kwenye ukimya wake …he is not satisfied hivyo amekataa kuwa sehemu ya udhalimu wa mali za Umma…….. Ikumbukwe Jamaa alikuwa Waziri wa Fedha enzi ya JPM .... anajua vema pato la taifa.
Kuna huyo anaitwa Katibu Binafsi wa Rais , anapiga pesa za nchi vibaya sana ….. Huyu ndio Msiri wa Boss na Mipango mingi… pia, skendo za Abdul na Ufisadi ni sure thing ....MSIKILIZENI LISSU VEMA. Abdul sio mtumishi wa Umma lakini anamaamuzi kwenye nchi...Dr anakaa kando kwa kuchukia kwa kuwa hawezi kufanya lolote.
Ufisadi UMERUDI kwa kasi…..
Ni wakati sasa wa Kuanza kumuelewa Job ndugu I, Miradi yote mikubwa yenye kichwa cha expression of interest na blah blah za kafulila za PPP..... ogopa sana ... nyuma yake kuna wahuni wanasukuma KETE vizuri sana huku wanakula tende na halua pembeni kuna kahawa nyeusi.
Tumepoteza Jembe ndani ya Serikali anaeweza kuchukizwa na UDHALIM NA UFISADI.......Dr Mpango (67). Bila ya Lissu nchi itazidi kuoza
Dr.Megalodon Mushy,PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Hili jambo analiweza LissuKwann Huwa wanakaa kimya na kujiuzuli, Kisha wanaendelea kukaa kimya.
Kama jambo halistahili Kwa MANUFAA ya Nchi, kwann Huwa hawatoki na kulipinga waziwazi?.
Rudi shuleYote kwa pamoja
Nyati ni nn mkuuuNoted ...21 Nyati anafunguliwa
Umeandika kama sukuma gangKwa taarifa zisizo RASMI( unpublished data) ni kwamba Dr Mpango amekuwa haridhishwi na namna nchi inavyopelekwa kwa sasa hasa kwenye uwekezaji wa resources .
Kwa mfano, uwekezaji wa DP world Tangu ile Safari ya Dubai, Dr Mpango alikuwa against na process nzima, resources za nchi zinaenda kuamuliwa kwenye expensive hotels na restaurants kwa watu ambao hawakuwa na good reputation. Hata kipindi cha mjadala, Dr Mpango hakuwahi hata siku moja kucomment anything about DP world maana alijua ni . HASARA nyingine kwa taifa. DP world ni another SCAM , wake up !!!!!!
Aidha, Ishu ya Adani group inayopigiwa debe na kafulila kwa sasa, nyuma ya huyo Muhindi kuna Big Dogs tayari wapo set up.. mchakato mzima Mpango anaujua na una interest za nani ... na wala sio interest za nchi…. Dili la Adani tayari lina pre contract kama ilivyokuwa DP world haya mambo yote ni chukizo kwa Dr kwakuwa zinalenga kunufaisha wachache na sio Watanzania
The Royal Tour ni another SCAM na matumizi mabaya ya fedha za Umma unnecessary, return ya Royal tour was worthless against expenditure , matumizi ya namna hii Mpango amekuwa kinyume nayo na mara nyingi amekuwa kama ameisusia kwenye ukimya wake …he is not satisfied hivyo amekataa kuwa sehemu ya udhalimu wa mali za Umma…….. Ikumbukwe Jamaa alikuwa Waziri wa Fedha enzi ya JPM .... anajua vema pato la taifa.
Kuna huyo anaitwa Katibu Binafsi wa Rais , anapiga pesa za nchi vibaya sana ….. Huyu ndio Msiri wa Boss na Mipango mingi… pia, skendo za Abdul na Ufisadi ni sure thing ....MSIKILIZENI LISSU VEMA. Abdul sio mtumishi wa Umma lakini anamaamuzi kwenye nchi...Dr anakaa kando kwa kuchukia kwa kuwa hawezi kufanya lolote.
Ufisadi UMERUDI kwa kasi…..
Ni wakati sasa wa Kuanza kumuelewa Job ndugu I, Miradi yote mikubwa yenye kichwa cha expression of interest na blah blah za kafulila za PPP..... ogopa sana ... nyuma yake kuna wahuni wanasukuma KETE vizuri sana huku wanakula tende na halua pembeni kuna kahawa nyeusi.
Tumepoteza Jembe ndani ya Serikali anaeweza kuchukizwa na UDHALIM NA UFISADI.......Dr Mpango (67). Bila ya Lissu nchi itazidi kuoza
Dr.Megalodon Mushy,PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Huo ndio ukweli nchi imerudi mikononi kwa wenye meno. Wenye moyo wanarudi nyuma kujipanga upya. Mama Phd za heshima za bure, Nchimbi na Phd feki wamekuja kuikabidhi nchi kwa wakoloni mamboleo kwa uroho wao wa mali. Wazalendo tujipange kabla mambo hayajaharibika kuiokoa nchi. Jk na rafiki yake Makamba mzee ni watu hatari.Kwa taarifa zisizo RASMI( unpublished data) ni kwamba Dr Mpango amekuwa haridhishwi na namna nchi inavyopelekwa kwa sasa hasa kwenye uwekezaji wa resources .
Kwa mfano, uwekezaji wa DP world Tangu ile Safari ya Dubai, Dr Mpango alikuwa against na process nzima, resources za nchi zinaenda kuamuliwa kwenye expensive hotels na restaurants kwa watu ambao hawakuwa na good reputation. Hata kipindi cha mjadala, Dr Mpango hakuwahi hata siku moja kucomment anything about DP world maana alijua ni . HASARA nyingine kwa taifa. DP world ni another SCAM , wake up !!!!!!
Aidha, Ishu ya Adani group inayopigiwa debe na kafulila kwa sasa, nyuma ya huyo Muhindi kuna Big Dogs tayari wapo set up.. mchakato mzima Mpango anaujua na una interest za nani ... na wala sio interest za nchi…. Dili la Adani tayari lina pre contract kama ilivyokuwa DP world haya mambo yote ni chukizo kwa Dr kwakuwa zinalenga kunufaisha wachache na sio Watanzania
The Royal Tour ni another SCAM na matumizi mabaya ya fedha za Umma unnecessary, return ya Royal tour was worthless against expenditure , matumizi ya namna hii Mpango amekuwa kinyume nayo na mara nyingi amekuwa kama ameisusia kwenye ukimya wake …he is not satisfied hivyo amekataa kuwa sehemu ya udhalimu wa mali za Umma…….. Ikumbukwe Jamaa alikuwa Waziri wa Fedha enzi ya JPM .... anajua vema pato la taifa.
Kuna huyo anaitwa Katibu Binafsi wa Rais , anapiga pesa za nchi vibaya sana ….. Huyu ndio Msiri wa Boss na Mipango mingi… pia, skendo za Abdul na Ufisadi ni sure thing ....MSIKILIZENI LISSU VEMA. Abdul sio mtumishi wa Umma lakini anamaamuzi kwenye nchi...Dr anakaa kando kwa kuchukia kwa kuwa hawezi kufanya lolote.
Ufisadi UMERUDI kwa kasi…..
Ni wakati sasa wa Kuanza kumuelewa Job ndugu I, Miradi yote mikubwa yenye kichwa cha expression of interest na blah blah za kafulila za PPP..... ogopa sana ... nyuma yake kuna wahuni wanasukuma KETE vizuri sana huku wanakula tende na halua pembeni kuna kahawa nyeusi.
Tumepoteza Jembe ndani ya Serikali anaeweza kuchukizwa na UDHALIM NA UFISADI.......Dr Mpango (67). Bila ya Lissu nchi itazidi kuoza
Dr.Megalodon Mushy,PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Katiba ya Kenya ni sawa na ya Tanzania?Mbona Gachagua yupo, na alimpinga Ruto waziwazi?.
Hakuwaza kuwekewa Sumu?.
Kuna kitu!,mtandao ule unatengeneza mazingira ya kurudi kuendesha nchi
Hizi ni Ramli chonganishi, kila mtu mjuaji. Kitu ambacho mtu hakijui lakini atajitutumua kujifanya anajua.Kwa taarifa zisizo RASMI( unpublished data) ni kwamba Dr Mpango amekuwa haridhishwi na namna nchi inavyopelekwa kwa sasa hasa kwenye uwekezaji wa resources .
Kwa mfano, uwekezaji wa DP world Tangu ile Safari ya Dubai, Dr Mpango alikuwa against na process nzima, resources za nchi zinaenda kuamuliwa kwenye expensive hotels na restaurants kwa watu ambao hawakuwa na good reputation. Hata kipindi cha mjadala, Dr Mpango hakuwahi hata siku moja kucomment anything about DP world maana alijua ni . HASARA nyingine kwa taifa. DP world ni another SCAM , wake up !!!!!!
Aidha, Ishu ya Adani group inayopigiwa debe na kafulila kwa sasa, nyuma ya huyo Muhindi kuna Big Dogs tayari wapo set up.. mchakato mzima Mpango anaujua na una interest za nani ... na wala sio interest za nchi…. Dili la Adani tayari lina pre contract kama ilivyokuwa DP world haya mambo yote ni chukizo kwa Dr kwakuwa zinalenga kunufaisha wachache na sio Watanzania
The Royal Tour ni another SCAM na matumizi mabaya ya fedha za Umma unnecessary, return ya Royal tour was worthless against expenditure , matumizi ya namna hii Mpango amekuwa kinyume nayo na mara nyingi amekuwa kama ameisusia kwenye ukimya wake …he is not satisfied hivyo amekataa kuwa sehemu ya udhalimu wa mali za Umma…….. Ikumbukwe Jamaa alikuwa Waziri wa Fedha enzi ya JPM .... anajua vema pato la taifa.
Kuna huyo anaitwa Katibu Binafsi wa Rais , anapiga pesa za nchi vibaya sana ….. Huyu ndio Msiri wa Boss na Mipango mingi… pia, skendo za Abdul na Ufisadi ni sure thing ....MSIKILIZENI LISSU VEMA. Abdul sio mtumishi wa Umma lakini anamaamuzi kwenye nchi...Dr anakaa kando kwa kuchukia kwa kuwa hawezi kufanya lolote.
Ufisadi UMERUDI kwa kasi…..
Ni wakati sasa wa Kuanza kumuelewa Job ndugu I, Miradi yote mikubwa yenye kichwa cha expression of interest na blah blah za kafulila za PPP..... ogopa sana ... nyuma yake kuna wahuni wanasukuma KETE vizuri sana huku wanakula tende na halua pembeni kuna kahawa nyeusi.
Tumepoteza Jembe ndani ya Serikali anaeweza kuchukizwa na UDHALIM NA UFISADI.......Dr Mpango (67). Bila ya Lissu nchi itazidi kuoza
Dr. Megalodon Mushy,PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada