Finder boy JF-Expert Member Joined Jan 20, 2012 Posts 608 Reaction score 150 Aug 24, 2012 #1 Nimepata taarifa kuwa nimechaguliwa duce lakini nikijaribu kutembelea website yao niakikishe haifunguki (www.duce.ac.tz). Je, kuna njia mbadala? Kama ipo nisaidieni jamani!
Nimepata taarifa kuwa nimechaguliwa duce lakini nikijaribu kutembelea website yao niakikishe haifunguki (www.duce.ac.tz). Je, kuna njia mbadala? Kama ipo nisaidieni jamani!
Charles Elias Member Joined Aug 14, 2012 Posts 61 Reaction score 4 Aug 24, 2012 #2 Hata mimi hlo tatzo linansumbua maana inaniambia iko suspended.Labda wazoefu zaidi watusaidie juu ya hlo!
Hata mimi hlo tatzo linansumbua maana inaniambia iko suspended.Labda wazoefu zaidi watusaidie juu ya hlo!
A axel fowly Senior Member Joined Aug 14, 2012 Posts 137 Reaction score 49 Aug 25, 2012 #3 Uhakikishe tena nini mkuu tcu wameshakualocate we tulia usubiri boom...