kuhusu engine oil za magari

Ahoks92

New Member
Joined
Sep 25, 2017
Posts
3
Reaction score
1
nimekuwa na sintofahamu juu ya ukweli kuhusu matumizi ya hizi oil kulingala na umbali...mara hii weka inakwenda km3000 mara hiii 5000km naomba kufafanuliwa ni kipi zaidi unatakiwa kujua katika kujua ni oili ipi inachukua umbali upi?? na jee mara unasikia oil fulani ni nzita sinzuri mara hii nyepesi si nzuri?? basi ni wapi jibu sahihi katika maamuzi haya?? mfano kwa matumizi ya gari la wengi hizi toyota ist raum starlet VVTI!!
ahsante
 
Mimi nabadilisha kila baada ya km 4000 kuanzia oil,air filter na oil filter lakini vyuma vikibana nafikisha hadi km5000......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…