Kuhusu equivalent admission letter in udom

Kuhusu equivalent admission letter in udom

IDUKILO

Member
Joined
Jul 11, 2012
Posts
14
Reaction score
3
Jamani wana jf naomba msaada wenu mimi nimechaguliwa udom kusoma medicine kama equivalent na katika website ya udom walitangaza kuwa leo jumatatu tungeweza kudownload admission letter lakini nikijaribu inagoma ninaomba msaada wenu kama kuna mtu kafanikisha au bado tusubiri.
 
Ebwana mm mwenywe kuna rafiki yangu hiv hiv na yeye kudownload inamgomea,sasa sijui tatizo ni nin?
 
kuweni na subira ndugu J3 haijaisha bado, kama umechaguliwa basi jua kwa namna yeyote ile lazima utapata admission letter, pia nataka kuwaambia kua admission latter haina umuhimo saaana cha muhimu ni Medical examination form na Admission Form ambazo utazijaza kabla ya kwenda chuo, kwasababu hazina tofauti naweza watumia mprint then mjaze wakati mkisubiri admission latter, kama unahitaji hizo other forms naweza wapatia mzifanyie kazi
 
Back
Top Bottom