Kuhusu fursa za kibiashara Moron Comoro

pinno

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2013
Posts
1,213
Reaction score
1,229
Wakuu

Nimepata safari ya kwenda Moron Comoro Kikazi

Ila nataka kuitumia safari hii pia kuangalia fursa mbalimbali za biashara

Naomba kwa yoyote anaejua mawili matatu anisaidie

1)ukiachia usafir wa ndege ambao ntatumia sasa,usafir wa boti upoje? Unagharimu kias gan? Na muda gan?

2)kuna fursa gan ambazo napaswa kuziangazia ,wakat naendelea na shughuli nyingine zilizonipeleka

3)Hotel /lodge za bei affordable za kufikia

4)Vtu vya kuzingatia na kadhalika na kadhalika.

Asanten
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…