Kuhusu hatma ya RC Chalamila na kauli zake chafu dhidi ya wanawake wajawazito tusubiri ugeni uliopo Dar uondoke

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Sasa sio wakati mzuri mama yupo bize na wageni wanaomiminika Dar kwa ajili ya mkutano wa viongozi wa Africa wa nishati.

Baada ya hapo mbivu na mbovu za Chalamila zitajulikana, hasa kuelekea wikiendi.
 
Sasa sio wakati mzuri mama yupo bize na wageni wanaomiminika Dar kwa ajili ya mkutano wa viongozi wa Africa wa nishati.

Baada ya hapo mbivu na mbovu za Chalamila zitajulikana, hasa kuelekea wikiendi.
Nadhani huyo sasa baba jane inamhusu sanaaa....
 
Mnamkalia kooni RC wa watu
Unajua kusema kamwambie mumeo achukue kisu na mikasi akuzalishe ni matusi? Hivi wewe ungekuwa ndio huyo mume ungejisikiaje? Kama haiwezekani kwa mwanamke huyo kupewa huduma bila Tshs 50k, kwa nini asimwambie kistaarabu tu na kumwelimisha, yeye si kiongozi wa watu bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…