Kuhusu heslb, grantors details

Kuhusu heslb, grantors details

abagabo

Senior Member
Joined
Jun 4, 2014
Posts
155
Reaction score
168
Wanajamvi naomba msaada tafadhali,

kuna mtu anafanya reg. OLAS lakini akifikia hatua ya kuingiza details za grantor, mambo yanakuwa tofauti na tulivyofanya kipindi kilichopita, lakini hapa nazungumzia first time applicant, yaani mambo yapo tofauti na kwa sababu hiyo tunaomba msaada katika hili, naambatanisha screenshot kwa maelezo zaidi.
IMG_20140711_162131.jpg mambo yako ivo, na anapo-click hapo kwenye please select, inakuja orodha ya vyuo, angalia hapo chini

IMG_20140711_162226.jpgndugu zangu mnao-apply kwa mara ya kwanza haya mnakutana nayo au hasara ya kuchelewa kuomba mkopo? msaada tafadhali.
 
Mhh Hayo noma sana , ujaribu tena Mara kazaa pengine system tu imesumbua maana haikua hivo au take action mapema ya kupiga simu loan board desk help nmb Si IPO hapo
 
Back
Top Bottom