kuhusu HESLB!!!

Darius

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
1,951
Reaction score
320
wanajamvi naomba kwa yeyote yule mwenye link inayoonyesha majina ya walioapply mkopo mwaka 2013/2014 na kuambiwa warudie kuapply upyaa, plz nawasilishaa
 
Samahani, hivi wametoa? ila nimeona kama wameongeza muda mpaka mwisho wa mwezi huu, sasa sina uhakika kama wametoa majina, labda ngoja nicheki then nitakuja toa updates
 
Samahani, hivi wametoa? ila nimeona kama wameongeza muda mpaka mwisho wa mwezi huu, sasa sina uhakika kama wametoa majina, labda ngoja nicheki then nitakuja toa updates

poa! hebu chekii
 
iko hv ndugu yangu, Jumatatu wiki hii yle mhusika walisema kwa kuwa vyuo vingi vinaanza masomo wiki ya pili ya mwezi wa kumi, ndo kipindi rasmi cha wao kutoa matokeo. Hakuna link yeyote inayotaka ku apply kwa upya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…