Raelish
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 489
- 162
Naomba kuelezwa ubora wa chuo hiki,nataka nikasoma diploma ya medicine(diploma in clinical medicine).. nimejaribu kukitafuta kweny list ya vyuo vya NACTE sijakiona lakn kuna watu wamesoma na wanasoma pale ndo maana nikaona nije niulizie hapa kama kinatambulika kisheria,ubora wake upoje,mandhari yake yapoje,mazingira ya kujifunza na kujifunzia yapoje...ahsante (k4ph)