Sasa Ni Kicheko Kwa Kampuni Ya Sukari Kilombero, Bei Ya Sukari Yapanda, Godown Hakuna Kitu, Wafanyakazi Wanatarajia Nyongeza Nono Ya Mshahara Hapo Tarehe 1April,2015 Mwaka Wa Fedha. Mpaka Sasa Tani 120,000 Za Sukari
Oya hebu funguka! Heading unasema tukuulize kuhusiana na Kilombero Sugar, content ndani ni siasa!
Mimi nina mpango wakuja hapo na kununua sukari kama tani kumi!
Utaratibu ukoje?
Bei zikoje?
Usafirishaji kutoka hapo ukoje?