Una miaka mingapi?Chasema na mwenyekiti wao wasijaribu kumbabaisha Rais wetu na kumblackmail katika kutekekeza sera zao
wananchi waliikubali CCM na wakaipigia kura kwa kishindo 2020.
hivyo mwenye mamlaka,ushwawishi na uwezo wa kumuamrisha Rais Samia ni wapiga kura walioichagua CCM 2020.
TUACHE USANII WA KISIASA
Chasema na mwenyekiti wao wasijaribu kumbabaisha Rais wetu na kumblackmail katika kutekekeza sera zao
wananchi waliikubali CCM na wakaipigia kura kwa kishindo 2020.
hivyo mwenye mamlaka,ushwawishi na uwezo wa kumuamrisha Rais Samia ni wapiga kura walioichagua CCM 2020.
TUACHE USANII WA KISIASA
hv nyie mtu wa kawaida ataitaka katiba wakati kula yenyewe shida,watu wanataka maendelea ya kiuchumi wapate helala. Nyie mmekazana katiba katibaKujenga uchumi bila demokrasia haiwezekani. Alijaribu Nyerere alipokataa Haki za Binadamu tangu mwaka 1961 mpaka mwaka 1984. Alijaribu Magufuli mwaka 2015 mpaka 2020.
Katiba sio ya Chadema wala CCM ni yetu sote yaweza kukusaidia familia yako huko mbeleni.
Huwezi zungumzia ushoga wa chadema kuacha kuzungumza ushoga wa shaka yule maemaji wa ccm aliyeolewa na Salim mpelembwe huko TangaMkuu katiba na familia wapi na wapi- kwanza familia ipi hizi za kishoga wanazotaka CHADEMA
hivi kwako wewe CHADEMA na Shaka ni sawa?Huwezi zungumzia ushoga wa chadema kuacha kuzungumza ushoga wa shaka yule maemaji wa ccm aliyeolewa na Salim mpelembwe huko Tanga
Siyo sawa kwa sababu chadema ni chama na shaka ni mtu.hivi kwako wewe CHADEMA na Shaka ni sawa?
Umepungukiwa akili wewe.CHADEMA kama chama kinaamini katika ushoga ndiyo maana mnawafuatilia mashoga mpaka mna rekodi mambo yao. Sasa kama mnafanya yite hayo mnataka katiba mpya iwape nini tena maana mlishapata kila kitu
Kudai katiba ni vurugu????Kwa kweli chadema nimeanza kuwachukia. Wanatumia upenyo wa upole wa mama kuleta vurugu nchini. Mama tembeza virungu, hawaamini kama ww ni rais, wanakuchukulia personally.