Kuhusu Katiba mpya, tuwe na subira. Hili suala halihitaji maandalizi duni

Kuhusu Katiba mpya, tuwe na subira. Hili suala halihitaji maandalizi duni

Suphian Juma

Senior Member
Joined
Apr 2, 2019
Posts
140
Reaction score
577
Maoni yangu juu ya katiba mpya kama mnavyoniuliza;

Serikali yetu ya CCM chini ya rais samia haijakataa rasmi katiba mpya; ni suala la msingi kwa Watanzania ndio maana ilianzisha mchakato wake wakati wa Rais Mstaafu Kikwete.

Hili suala halihitaji maandalizi duni. Nawasihi tuendelee kumuunga mkono rais wetu samia aendelee kuwapa matumaini na maendeleo mujarabu wananchi.

Tuwe na subra!

Suphian Juma,

Mwanachama CCM

IMG_20210618_152546.jpg
IMG_20210618_152725.jpg
 
Wanyiramba nyie kuna mtu amewaloga siyo bure, kuanzia wewe, Mwigulu, Gwajima na Mkumbo ndiyo maana ndugu zenu wanaishi kwenye nyumba za tembe ili nyie muendelee kula vizuri, MO kawapiga hapo kaawachia nyumba za tembe bado tu mmelala. Shame on you
 
Wanyiramba nyie kuna mtu amewaloga siyo bure, kuanzia wewe, Mwigulu, Gwajima na Mkumbo ndiyo maana ndugu zenu wanaishi kwenye nyumba za tembe ili nyie muendelee kula vizuri, MO kawapiga hapo kaawachia nyumba za tembe bado tu mmelala. Shame on you
Muulize katiba mpya ina madhara gani?
 
Back
Top Bottom