erastosichila
Member
- Jun 8, 2017
- 70
- 42
Tuliaminishwa kuwa Uhuru na Ruto wameshiriki kuua watu uchaguzi mkuu wa Kenya, yakaletwa mashitaka wakapelekwa Thehugue (uholanzi)kesi ikaishia ilipo ishia,kukosa mashahidi.
Hivi Leo hayo hayo ndio wameshinda uchaguzi huu mkuu Odinga anashindwa tena kura 2millioni zaiidi,basi Siasa ni kizungu mkuti ndani ya siasa ni porojo tu afadhali hapa KAZI tu ,wananchi wachape KAZI Siasa ni Ulongo, tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Leo hayo hayo ndio wameshinda uchaguzi huu mkuu Odinga anashindwa tena kura 2millioni zaiidi,basi Siasa ni kizungu mkuti ndani ya siasa ni porojo tu afadhali hapa KAZI tu ,wananchi wachape KAZI Siasa ni Ulongo, tu.
Sent using Jamii Forums mobile app