Wadau habarini za siku! Tuwe pole na majukumu ya kila siku.
Mimi naomba niulize ama mwenye uelewa anijuze;
Nimepanga nyumba fulani ambayo imezungukwa na mipaini au wengine wanaita mibai yaan ile miti ya mbao ila kuna vinafasi vinafai nikaamua kulima bustani ila ukuaji wa miche ya bustani kama vile nyanya, bilingani na bamia sio mzuri hata kidogo yaani upo very slow yaan inadumaa.
Naomba ushauri nifanyeje!
Mimi naomba niulize ama mwenye uelewa anijuze;
Nimepanga nyumba fulani ambayo imezungukwa na mipaini au wengine wanaita mibai yaan ile miti ya mbao ila kuna vinafasi vinafai nikaamua kulima bustani ila ukuaji wa miche ya bustani kama vile nyanya, bilingani na bamia sio mzuri hata kidogo yaani upo very slow yaan inadumaa.
Naomba ushauri nifanyeje!