Endelea kula gambe kwani yamebaki masaa mangapi iwe asubuhi?Wadau mchepuko kazingua natamani kumpigia simu wife aniliwaze ila sijawahi mpigia mida hii na shakula gambe
Dada kwan hujalalaEndelea kula gambe kwani yamebaki masaa mangapi iwe asubuhi?
Issue hapa ni mchepuko kuzingua au usingizi wangu?Dada kwan hujalala
Kwa kuwa kichwani tupo wawili na wewe umeuliza maswali mawili ngoja tugawane mojamojaIssue hapa ni mchepuko kuzingua au usingizi wangu?
Usikute hapo wife nae kazinguliwa na kiben10 kamkuta na binti, sasa na amejaa mawazo tele...😂😂Wadau mchepuko kazingua natamani kumpigia simu wife aniliwaze ila sijawahi mpigia mida hii na shakula gambe
Kaka njoo ule bia hapa 4ways dodoma ufute post yakoUsikute hapo wife nae kazinguliwa na kiben10 kamkuta na binti, sasa na amejaa mawazo tele...[emoji23][emoji23]
Usingizi wako ni muhimu zaidi [emoji2099][emoji2099][emoji2099]Issue hapa ni mchepuko kuzingua au usingizi wangu?
Specie gani ya Miti ya mbao ni Nzuri?Miaka kumi kwa uhakika ila nane unaweza kuanza kuvuna.
Hii inategemea zaidi na aina ya miti husika.Hivi wadau anaeweza kunisaidia miti ya mbao Hadi kuvunwa huchukua muda gani