Wakuu kwa sasa ndipo songea kikazi na kampuni moja ambayo ina utaratibu mgumu, sipati nafasi kuchomoka kuja dar.
Nahitaji smartphone mpya isiyozidi laki tatu. Hapa songea maduka yoote ni Tecno na Huawei tu zimetawala. Mimi nahitaji Motorola moto e,nimeiona ikiuzwa online kupitia kivuko.com.
Sasa nipate uhakika kwa mtu mwenye uzoefu na hawa jamaa, je ni kweli ni waaminifu katika biashara yao?Kama sio waaminifu, je Kuna alternative ipi mnanishauri?