Kuhusu kuchaguliwa udom

Kuhusu kuchaguliwa udom

IDUKILO

Member
Joined
Jul 11, 2012
Posts
14
Reaction score
3
jamani wana jf mimi nimechaguliwa kusoma medicine udom kama eguivalent majina yalitoka juzi ambapo niliapply kupitia chuo lakini vile vile niliapply kupitia TCU nimechaguliwa kairuki
na mkopo umeenda kairuki na mimi sija report chuo chochote kati ya hivyo sasa kama nataka kwenda udom kuna uwezekano na mkopo kuhamia udom,naombeni msaada wa kimawazo.
 
jamani wana jf mimi nimechaguliwa kusoma medicine udom lakini vile vile nimechaguliwa kairuki
na mkopo umeenda kairuki na mimi sija report chuo chochote kati ya hivyo sasa kama nataka kwenda udom kuna uwezekano na mkopo kuhamia udom,naombeni msaada wa kimawazo.

kwanini usiende kairuki, na ilikuwaje ukachaguliwa vyuo viwilg
 
kwanini usiende kairuki, na ilikuwaje ukachaguliwa vyuo viwilg
mimi nilichaguliwa kupitia kairuki tcu halafu juzi udom walitoa majina ya equivalent walio apply kupitia chuo jina langu lipo na mkopo umepelekwa kairuki niliko chaguliwa kuputia tcu.
 
jamani wana jf mimi nimechaguliwa kusoma medicine udom kama eguivalent majina yalitoka juzi ambapo niliapply kupitia chuo lakini vile vile niliapply kupitia TCU nimechaguliwa kairuki
na mkopo umeenda kairuki na mimi sija report chuo chochote kati ya hivyo sasa kama nataka kwenda udom kuna uwezekano na mkopo kuhamia udom,naombeni msaada wa kimawazo.

The best way out ni kwenda mwenyewe TCU uombe wakubadilishe. Basi vinginevyo humu utababaishwa.
 
Hubert Kailuki memorial university ni chuo namba mbili kwa ubora nyuma ya udsm kwa miaka 4 mfululizo sasa na pia mwaka 2001 chenyewe na UDSM viliingia ktk orodha ya vyuo 100 bora Africa,,na NI chuo bora tanzania kwa upande wa medicine kikifuatiwa na Muhimbili.MWENYE UELEWA NA HILI ATANIUNGA MKONO.umaarufu wa chuo hauna tija wala usihangaike kwenda loan bodi nenda kapige ktabu kijana TZ is all waiting 4 u ​
 
Nenda kairuki ukithubutu kutaka kuhamisha mkopo utapata tabu sana mkuu
 
Back
Top Bottom