Wazimamizi wa vyuo ongezeeni kasi ya kuvifuatilia vyuo binafisi hasa vya afya vitu vinavyofanyika kwenye vyuo hvyo ni kuizika taaluma ya afya
1 rushwa za ngono
2,rushwa ya pesa
3,wizi wa mitihani
4,usimamizi mbovu wa mitihani
5,wanachuo kujaziwa marks bure bila kufanya hata mtihani ilimradi kampa mwalimu pesa au penzi
Taarifa nawapeni inapofika kipindi cha Mitihani ya wizara kila mwalimu wa somo husika hufanya kila linalowezekana ili aweze kupata majibu ya somo husika ili aweze kuwagawia waliompatia pesa au penzi ,sisi tulioko nje ya mfumo tunayaona haya na so kazi kubwa kuyafahamu ni jambo la kufuatilia tu kidogo mtawakamata tofauti na hapo mtakuja kupata wataalamu wasiofaa wanatoka vyuo binafisi na kuua watu maana huwajui kitu wana vyeti lakini walikuwa wanatoa rushwa tuuuu mwanzo mwisho,