Kuhusu kuhama vyuo

beniko

Member
Joined
Dec 26, 2013
Posts
94
Reaction score
9
Jamani eti nikweli kwamba tcu wakisha toa majina ya walio chaguliwa kujiunga na vyuo hua wanatoa muda kwa wale wanaotaka huhama vyuo ili watume maombi ya kuhama vyuo walivyo chaguliwa kwenda vyuo vingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…