Unajua unapompa kazi Mkandarasi ni kwamba tayari amepewa hiyo kandarasi anapata faida kwa hiyo kuna mafundi atawapa hiyo kazi,na watalipwa mshahara na mkandarasi atabaki na faida.Cha msingi we komaa mwenyewe na mafundi wa mtaa.Unaweza tumia 1.5m kutoka msingi hadi renta,lakini ukimpa mkandarasi anaweza taka kwa kazi hiyo tu mpaka renta 10m.Kaa ukijua materials kote mkandarasi au fundi mtaa ni juu yako.