Kuhusu kujiuzul kwa Prof. Nyamhumwa wa DIT kama alivyoahidi ikitokea kama atakuwa chanzo cha mgomo.
Giza nene limetawala kuhusu kujiuzulu kwa Prof. Nyamhumwa katika Taasisi ya Technolojia ya D.I.T kufuatia kuahidi mwenyewe kujiuzulu kuwa endapo wanafunzi amboa hawajamali ada watafanya mitihani yeye atajiuzulu nyazifa zote katika Taasisi hivyo maarufu iliyojizolea umaarufu kwa kutoa wahandisi bora kabisa nchini na A.mashariki
Ikumbukwe kuwa Nyamhumwa aliachiwa chuo wakati mkuu wa chuo hicho Prof. Kondoro akiwa Dodoma bungeni kikazi.
Wakati wanafunzi wanajiandaa kufanya mitihani ndipo kaimu huyo wa chuo hicho alipoamuru wote ambao hawajamaliza kulipa ada hawataruhusiwa kufanya mitihani,ndipo uongozo wa chuo hicho ulipomfuata na kumweleza kuwa wanaomba wanafunzia ambao hawajalipa ada wafanye mitihani ila matokeo yao yazuiliwe mpaka watakapolipa lakini mkuu huyo alikataa na kuahidi mwenyewe kujiuzulu enadapo watafanya.
Siku ya tarehe 2 June Jumatatu ambayo mitihani ilatakiwa kuanza wanafunzi waliokuwa wamelipa wakaungana na wenzao ambao hawajalipa kugomea mitihani mpaka wote waruhusiwe,hivyo siku hiyo mitihani haikufanyika,siku ya Jumanne wanafunzi waliamua kufanya maandamano ya amani kwenda wizara ya Sayansi na Teknolojia kushtaki,kufika ofisini walikutana na katibu mkuu ambaye aliamuru wanafunzi warudi chuoni na kuahidi kuja kuwasikiliza.
Baada ya kikao hicho kilichofanyika na katibu mkuu wa wizara pamoja na viongozi wa taasisi hivyo wote pamoja na mkuu wa chuo hicho aliyerudi haraka sana kusikia mgomo huo ,katibu mkuu alimuru wanafunzi wote wafanye mitihani hivyo uongozi wa wanafunzi kumuomba katibu mkuu kuwa wanaomba Prof. Nyamhumwa ajiuzulu kama alivyosema kuwa endapo watafanya mitihani wanafunzi hao yeye atajiuzuli hivyo kumwoma ajiuzulu mbele ya katibu mkuu wa wizara hali iliyotia utata kwani Nyamhumwa alionekana mwenye aibu kubwa kwani yeye mwenyewe alisoma enzi za Mwalim nyerere tena bure hayo yote akiwa amesahau.
Giza nene limetawala kuhusu kujiuzulu kwa Prof. Nyamhumwa katika Taasisi ya Technolojia ya D.I.T kufuatia kuahidi mwenyewe kujiuzulu kuwa endapo wanafunzi amboa hawajamali ada watafanya mitihani yeye atajiuzulu nyazifa zote katika Taasisi hivyo maarufu iliyojizolea umaarufu kwa kutoa wahandisi bora kabisa nchini na A.mashariki
Ikumbukwe kuwa Nyamhumwa aliachiwa chuo wakati mkuu wa chuo hicho Prof. Kondoro akiwa Dodoma bungeni kikazi.
Wakati wanafunzi wanajiandaa kufanya mitihani ndipo kaimu huyo wa chuo hicho alipoamuru wote ambao hawajamaliza kulipa ada hawataruhusiwa kufanya mitihani,ndipo uongozo wa chuo hicho ulipomfuata na kumweleza kuwa wanaomba wanafunzia ambao hawajalipa ada wafanye mitihani ila matokeo yao yazuiliwe mpaka watakapolipa lakini mkuu huyo alikataa na kuahidi mwenyewe kujiuzulu enadapo watafanya.
Siku ya tarehe 2 June Jumatatu ambayo mitihani ilatakiwa kuanza wanafunzi waliokuwa wamelipa wakaungana na wenzao ambao hawajalipa kugomea mitihani mpaka wote waruhusiwe,hivyo siku hiyo mitihani haikufanyika,siku ya Jumanne wanafunzi waliamua kufanya maandamano ya amani kwenda wizara ya Sayansi na Teknolojia kushtaki,kufika ofisini walikutana na katibu mkuu ambaye aliamuru wanafunzi warudi chuoni na kuahidi kuja kuwasikiliza.
Baada ya kikao hicho kilichofanyika na katibu mkuu wa wizara pamoja na viongozi wa taasisi hivyo wote pamoja na mkuu wa chuo hicho aliyerudi haraka sana kusikia mgomo huo ,katibu mkuu alimuru wanafunzi wote wafanye mitihani hivyo uongozi wa wanafunzi kumuomba katibu mkuu kuwa wanaomba Prof. Nyamhumwa ajiuzulu kama alivyosema kuwa endapo watafanya mitihani wanafunzi hao yeye atajiuzuli hivyo kumwoma ajiuzulu mbele ya katibu mkuu wa wizara hali iliyotia utata kwani Nyamhumwa alionekana mwenye aibu kubwa kwani yeye mwenyewe alisoma enzi za Mwalim nyerere tena bure hayo yote akiwa amesahau.