Kuhusu Kujua Lugha Ya Kiingereza.

Kuhusu Kujua Lugha Ya Kiingereza.

eliasy

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2012
Posts
455
Reaction score
53
Naombeni msaada kwa anaejua anambie ni vitabu gani ambavyo natakiwa kuvisoma ili niweze kujua kiingereza? Najua kuna kwenda shule za English course lakini nahitaji hata ni kipata vile vitabu vyenye STRONG AND WEAK VERBS, PRESENT TENSE n.k
Naamini hvyo vitanisaidia kuweza kujua lugha hyo. Msaada jamani
 
Contemporary english grammar kimeandikwa na mhindi anaitwa Jayanthi Dakshina Murthy.
 
Sikiliza bbc world service masaa 24 kila siku...
huwezi kujifunzia kiingereza clouds.
Spoken english inafundisha kwa haraka mara 1000 zaidi ya kusoma vitabu vyote duniani.
 
Asante mkuu, ila hyo English grammar ninayo. Ningepata kitabu ambacho kina maneno ambyo yanaelekeza neno linapobadilka kutehemea na wakt ndo ingekuwa nzuri zaid. Yani tenses n.k
Au kwa dar nitapata mwalimu makini ambaye atanifundisha lugha hyo kwa kipindi cha mwezi 1 nikifika dar?
 
Soma kitabu hicho kuanzia uk wa 151 mpaka 169 au uk 99 mpaka 121.
 
Una elimu gani kwanza halafu unatoa shilingi ngapi nikupe msasa through online.
 
Kuna websites chungu nzima zinafundisha lugha uipendayo, tumia Google kutafuta ukitakacho.
 
Back
Top Bottom