OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mzee kaingia Choo cha kikeJemedari saidi kazumari ambaye ni meneja wa mnata ansema KIONGOZI HUYO(alikataa kumtaja jina)ALISHAWAHI KUNILALAMIKIA TUHUMA HIZO SIKU ZA NYUMA(uchawi na kuuza mechi)NIKAMUAMBIA KAMA HANA UTHIBITISHO AACHANE NAZO
sasa zile tuhuma zimejirudia tena kwa mtu yuleyule halafu ana audacity ya kusema simu ilikuwa hacked ina maana metacha mnata haijui sauti ya msolwa?yaani aliongea na mtu mwingine kwa hasira aka post vile?
au hacker ali hack hadi sauti?
SIMTANK 1000Kg ndiyo ADUI MKUU Yanga SC.Kama mnavyofahamu siku ya jana golikipa wa Yanga Metacha Mnata aliwaaga mashabiki wa Yanga kupitia insta na baadae kufuta lile bandiko.
Kuna tetesi kuwa Sintofahamu hiyo ilisababishwa na Mwenyekiti Dr. Msolla kumchana Metacha kwamba anawahujumu akiwa langoni.
Habari zimeendelea kujili jioni ya leo kuwa mwenyekiti ametakiwa kutoa maelezo kwa nini alimgombeza mchezaji nje ya utaratibu. Kufuatiaji hoja hizo mwenyekiti amejibu kuwa sio yeye bali simu yake ilikuwa hached na wahuni
Asipokusikia asije Kulaumu akitimuliwa.Huyo Msola hapo anatafutiwa sababu anatakiwa kwa ustaarabu wake ajiweke pembeni, hao uto wameshachanganyikiwa, sasa kila mtu kwao adui.