yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,662
- 3,715
Habari wakuu.
Leo nimekaa nikafikiria sana kuhusu namna ya kuongeza kipato. Hii ni baada ya kupiga hesabu za gharama za maisha hasa kwa upande wa kulipa kodi ya nyumba, nk.
Mkakati niliouona unafaa zaidi ni kuongeza kipato kwa kufungua mradi/ biashara rahisi ambayo nitakuwa na uhakika wa kuingiza faida ya tsh. 5000 kwa siku.
Hii pia inaweza kukusaidia hata wewe mwana JF katika kuongeza kipato.
Hivyo basi namkaribisha kila mwenye wazo/ ushauri kuhusu ni mradi gani au biashara ipi au bidhaa ipi unayoweza kuuza na kuwa na uhakika wa kuingiza faida ya tsh. 5000 kwa siku pengine bila kukuhitaji kuisimamia full time.
Karibuni.
Leo nimekaa nikafikiria sana kuhusu namna ya kuongeza kipato. Hii ni baada ya kupiga hesabu za gharama za maisha hasa kwa upande wa kulipa kodi ya nyumba, nk.
Mkakati niliouona unafaa zaidi ni kuongeza kipato kwa kufungua mradi/ biashara rahisi ambayo nitakuwa na uhakika wa kuingiza faida ya tsh. 5000 kwa siku.
Hii pia inaweza kukusaidia hata wewe mwana JF katika kuongeza kipato.
Hivyo basi namkaribisha kila mwenye wazo/ ushauri kuhusu ni mradi gani au biashara ipi au bidhaa ipi unayoweza kuuza na kuwa na uhakika wa kuingiza faida ya tsh. 5000 kwa siku pengine bila kukuhitaji kuisimamia full time.
Karibuni.