Kuhusu kuongeza mishahara ya watumishi wa umma awamu ya utawala huu, alternative hii ingetumika

Kuhusu kuongeza mishahara ya watumishi wa umma awamu ya utawala huu, alternative hii ingetumika

MEXICANA

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
1,777
Reaction score
2,040
Annual increament ni haki ya kila mtumishi wa umma kupata.

Ila kwangu Mimi sioni impacts yake katika maisha ya sasa maana ni hela ndogo sana.

Ningekuwa mimi mhe. Raisi wa Jmt ningechukua maamuzi ya kuwalipia madeni yote watumishi wa umma kwenye kila taasisi walikokopa particularly mabenki.

Nitoe mfano

Mfanyakazi wa umma unakuta alichukua mkopo unaodumu miaka 5, take home imebaki laki 3, huyu akiongezewa mshahara ni sawa na bure,maana atakuwa anachukua almost ile ile tofauti na kulipiwa deni analodaiwa maana atakuwa amerudi kwenye take home yake around 1 M.

Kuhusu kupandisha madaraja ,kisheria hili halina nguvu,maana mkataba kuna sehemu unasema mwajiri anaweza kukupandisha daraja kila baada ya miaka 3 akipenda kufanya hivyo.
 
WATUMISHI WANARIDHIKA NA MISHAHARA YAO MKUU NDO MANA UNAONA WAKO KIMYA HASA VYAMA VYAO
 
Watumishi wa umma nchi hii (wakiongozwa na walimu) wana akili ndogo na ni bonge moja la takataka.
 
Mishahara haiwezi kuongezwa kwa sababu wapo wahitimu wengi ambao hiyo nafasi uliyonayo ambayo mshahara hautoshi kuna wahitimu kama 200 hivi wanautaka sana.
Na ili ujue hili lina ukweli ni wachache sana wanao acha kazi.
 
Sasa ukiwalipia si watakopa tena,,,vumilia mkuu mkopo utaisha tu,, usipanic kua umri unaenda relax ,,and do the right thing,,,usikubali kujuta na kusononeka inuka pambana na jitahidi kuwa Bora Zaidi ya jana, ki mawazo matendo na fikraa
 
Kwahiyo kupata hivyo vijihuduma unadhani kunanizuia kusema ukweli ?

Ukweli UPI. Huko kuwatukana au. Uzuri wa JF. Unaandika tu. Hakuna anayekujua wala kujua maisha yako. Ila mara nyingi watu wenye lugha yako Ni watu duni sana. Na akiwa na hela Ni Wale dhurumati na washirikina.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom