Kuhusu kusafirisha mchele

djesco

Senior Member
Joined
Jun 26, 2013
Posts
166
Reaction score
52
habari wakuu nina duka langu hapa mjini ila nataka niwe naenda kuchukua mchele mwenyewe huko morogoro asa naomba kwa yeyote anayewefanya hii tusaidiane ili wakati anakodi let say gari nzima na mie niwe napakiza kwake walau gunia 5 ila kuna mtu kaniambia kuwa kuna treni kutokea ifakara nataka nijue kwa kila gunia moja kwenye treni watanichaji tsh.ngapi!? NAWASILISHA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…