jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Salamu wanaJF
katika strategies za kupambana na COVID 19 hakuna expert duniani.kila mmoja wetu ameweza kuwa na ushauri wake ambao ni valid kwa muktadha wa uelewa,taarifa,uzoefu,elimu n.k
Rais Magufuli alichagua NO LOCKDOWN ..!!
Baada ya msimamo huu hata mimi big fan wa Jembe Magufuli nilitetereka kidogo lakini kupitia tafiti zangu hatimaye nimeelewa somo vilivyo...na somo hili limeeleweka duniani kote yaani kwa wataalamu na wanasiasa.yaani lockdown sio suluhu ya kudumu kwenye tatizo linalodumu.
Kwa mujibu wa data tatizo la COVID 19 linaonekana ni tatizo sugu tutaishi nalo na sio tatizo la kupita kama ilivyokuwa kwenye matatizo yaliyowahi kuisumbua dunia hapo awali.
basing on these facts naungana na Mh Rais katika kuikataa lockdown.
Nini kifanyike kwa sasa.
1-Tuondoe hofu iliyojengwa
2-Tutengeneze vifaa kinga kwa watumishi na jamii kwa wingi
3-Tuzingatie Social and Physical distancing
4-Tuendelee kuzingatia unawaji mikono
5-Tuendelee kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima
6-Tupime wahisiwa na kutoa majibu sahihi kwa wakati.
7-Vyombo vya ulinzi na usalama hasa polisi virejee katika routine zao za kazi(hakuna kuogopa) this is just like other War
8-wataalamu wa wizara husika waendelee kufanya analysis na kutoa muelekeo.hasa wataalamu wa epidemiolojia.
9-Watumishi wa afya warejee misingi ya viapo vyao,wapongezwe,wapewe motisha.
10-Tujiamini zaidi katika mbinu zetu kupitia mamlaka zetu kama TMDA,MSD,NIMR,Taasisi za Elimu n.k
11-Tuachane na unyanyapaa na Siasa za majitaka.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
katika strategies za kupambana na COVID 19 hakuna expert duniani.kila mmoja wetu ameweza kuwa na ushauri wake ambao ni valid kwa muktadha wa uelewa,taarifa,uzoefu,elimu n.k
Rais Magufuli alichagua NO LOCKDOWN ..!!
Baada ya msimamo huu hata mimi big fan wa Jembe Magufuli nilitetereka kidogo lakini kupitia tafiti zangu hatimaye nimeelewa somo vilivyo...na somo hili limeeleweka duniani kote yaani kwa wataalamu na wanasiasa.yaani lockdown sio suluhu ya kudumu kwenye tatizo linalodumu.
Kwa mujibu wa data tatizo la COVID 19 linaonekana ni tatizo sugu tutaishi nalo na sio tatizo la kupita kama ilivyokuwa kwenye matatizo yaliyowahi kuisumbua dunia hapo awali.
basing on these facts naungana na Mh Rais katika kuikataa lockdown.
Nini kifanyike kwa sasa.
1-Tuondoe hofu iliyojengwa
2-Tutengeneze vifaa kinga kwa watumishi na jamii kwa wingi
3-Tuzingatie Social and Physical distancing
4-Tuendelee kuzingatia unawaji mikono
5-Tuendelee kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima
6-Tupime wahisiwa na kutoa majibu sahihi kwa wakati.
7-Vyombo vya ulinzi na usalama hasa polisi virejee katika routine zao za kazi(hakuna kuogopa) this is just like other War
8-wataalamu wa wizara husika waendelee kufanya analysis na kutoa muelekeo.hasa wataalamu wa epidemiolojia.
9-Watumishi wa afya warejee misingi ya viapo vyao,wapongezwe,wapewe motisha.
10-Tujiamini zaidi katika mbinu zetu kupitia mamlaka zetu kama TMDA,MSD,NIMR,Taasisi za Elimu n.k
11-Tuachane na unyanyapaa na Siasa za majitaka.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA