Kuhusu manabii wa uongo Tanzania

Kuhusu manabii wa uongo Tanzania

Sam Richards

Member
Joined
May 3, 2019
Posts
76
Reaction score
155
Ifike hatua hawa manabii wa uongo Tanzania waache kucheza na imani za watu maana wanajitafutia umaarufu kidg tu kisha waanza kupiga deals kupitia unabii mpauko.

Hivi haiwezekani kuwatandika viboko hawa manabii wanaozuka kama uyoga mitaani? Kuna nabii mmoja Channel 10 wa mwenge mpakani anapiga mayowe na kujitupa kwenye matope wengine wanasababisha kelele tu mitaani nafikiri NEMC wasimamie suala hili vizuri maana Dar sasa hivi kila kona wahubiri uchwara wapo na wengine hata BIBLE SCHOOL hawajapita.

Tuje tuwachape MBOKO tu hawa.
 
Ifike hatua hawa manabii wa uongo Tanzania waache kucheza na imani za watu maana wanajitafutia umaarufu kidg tu kisha waanza kupiga deals kupitia unabii mpauko.

Hivi haiwezekani kuwatandika viboko hawa manabii wanaozuka kama uyoga mitaani? Kuna nabii mmoja Channel 10 wa mwenge mpakani anapiga mayowe na kujitupa kwenye matope wengine wanasababisha kelele tu mitaani nafikiri NEMC wasimamie suala hili vizuri maana Dar sasa hivi kila kona wahubiri uchwara wapo na wengine hata BIBLE SCHOOL hawajapita.

Tuje tuwachape MBOKO tu hawa.
wenye imani haba wasiojua maandiko watatekwa sana na manabii hao. Unakuta kijana ana chupa kubwa ya mafuta anayaita ya mzeituni akijiita nabii. Katabiri nini, kafanya nini cha kinabii? Haijulikani
 
Wanawake ndio wanawaendekeza hawa jamaa,hasa wake wa watu,nina mshkaji wangu yeye kila saa kwenye status zake ni bushiri tu,nishampigia kelele lakini wapi,yani wameshikwa pabaya kiasi kwamba hawasikii lolote,huwa nashindwa kuelewa kwanini wanashindwa kuwatambua hawa manabii kuwa ni wajanja wajanja tu hamna lolote
 
Ifike hatua hawa manabii wa uongo Tanzania waache kucheza na imani za watu maana wanajitafutia umaarufu kidg tu kisha waanza kupiga deals kupitia unabii mpauko.

Hivi haiwezekani kuwatandika viboko hawa manabii wanaozuka kama uyoga mitaani? Kuna nabii mmoja Channel 10 wa mwenge mpakani anapiga mayowe na kujitupa kwenye matope wengine wanasababisha kelele tu mitaani nafikiri NEMC wasimamie suala hili vizuri maana Dar sasa hivi kila kona wahubiri uchwara wapo na wengine hata BIBLE SCHOOL hawajapita.

Tuje tuwachape MBOKO tu hawa.
Je kuna aliyewahi kufungwa kamba akabuluzwa mpaka huko kwa manabii wa uongo? Kama mtu amejawa na ujinga acha aliwe
 
Manabii wa uongo/wa kweli watatambuliwa kwa matunda yao, mchungwa hauwezi kuzaa limao, uponyaji unaofanywa kwa malipo ni utapeli wa waziwazi
[mmepokea bure toeni bure, ponyeni...msipokee fedha,mali,na vito]
 
Ifike hatua hawa manabii wa uongo Tanzania waache kucheza na imani za watu maana wanajitafutia umaarufu kidg tu kisha waanza kupiga deals kupitia unabii mpauko.

Hivi haiwezekani kuwatandika viboko hawa manabii wanaozuka kama uyoga mitaani? Kuna nabii mmoja Channel 10 wa mwenge mpakani anapiga mayowe na kujitupa kwenye matope wengine wanasababisha kelele tu mitaani nafikiri NEMC wasimamie suala hili vizuri maana Dar sasa hivi kila kona wahubiri uchwara wapo na wengine hata BIBLE SCHOOL hawajapita.

Tuje tuwachape MBOKO tu hawa.
Nabii Soja Mega One, simuelewi kabisa na ibada zàke za kujipaka matope machafu mwili mzima
 
Wanawake ndio wanawaendekeza hawa jamaa,hasa wake wa watu,nina mshkaji wangu yeye kila saa kwenye status zake ni bushiri tu,nishampigia kelele lakini wapi,yani wameshikwa pabaya kiasi kwamba hawasikii lolote,huwa nashindwa kuelewa kwanini wanashindwa kuwatambua hawa manabii kuwa ni wajanja wajanja tu hamna lolote
Kuna mwingine huku kila kitu kaandika SHEFADI BUHIRI
Nabii Soja Mega One, simuelewi kabisa na ibada zàke za kujipaka matope machafu mwili mzima
Kamata chapa fimbooo hao ni matapeli
 
Ifike hatua hawa manabii wa uongo Tanzania waache kucheza na imani za watu maana wanajitafutia umaarufu kidg tu kisha waanza kupiga deals kupitia unabii mpauko.

Hivi haiwezekani kuwatandika viboko hawa manabii wanaozuka kama uyoga mitaani? Kuna nabii mmoja Channel 10 wa mwenge mpakani anapiga mayowe na kujitupa kwenye matope wengine wanasababisha kelele tu mitaani nafikiri NEMC wasimamie suala hili vizuri maana Dar sasa hivi kila kona wahubiri uchwara wapo na wengine hata BIBLE SCHOOL hawajapita.

Tuje tuwachape MBOKO tu hawa.
Mwamposa ni Tapeli
 
Back
Top Bottom