Kuhusu maombi ya mkopo 2015/2016

grysn

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2015
Posts
266
Reaction score
35
naomben mnisaidie ....kujua kuna utaratibu gani wa kufuataa wakati wa kuomba mkopo kwa sie tulimazma form six mwaka jana baada ya kukosa ...sikwenda kulpoti chuo ....
 
Hata mimi nilikosa lkn nilienda chuo japo kwa taabu sana. niliandikiwa "BUDGET EXHAUSTED". Wenye kujua utaratibu plz tuelekezeni
 
Hata mimi nilikosa lkn nilienda chuo japo kwa taabu sana. niliandikiwa "BUDGET EXHAUSTED". Wenye kujua utaratibu plz tuelekezeni

nijuze mkuu
ukiwa na ada nusu kwa semister vp wanakuchomoa au watakuvumilia kwa mda
 
nijuze mkuu
ukiwa na ada nusu kwa semister vp wanakuchomoa au watakuvumilia kwa mda

Kama Bodi hawajatoa majina unasajiliwa hata ukiwa na nusu kwa matazamio kuwa huenda ukapata mkopo. Lkn Bodi ya mikopo wakishatoa orodha inakubidi kumalizia mwenyewe kama hukupata mkopo
 
kwa hiyo mimi naweza kuomba tu kawaida kama , utaratbu ulivyo....
 
Unaomba kawaida tu kama mwanzoni hata kwa walioaply wakakosa nakuspeal wakakosa pia wanaweza kuaply upya ila waandikishe majina yao kwa afisa mikopo wa chuo husika ili matokeo yao yapelekwe bodi ya mikopo
 
kuweni makinin katika kuomba mkopo kuanzia viambata vyote vinavyotakiwa bila viambata sahihi kama ulivyojaza fomu yako online huwezi pata mfano umesema mzazi wako ni mlemavu then kwenye fomu hujaambatanisha supporting document ujue umeumia so kuweni makini
 
naomba kujulishwa kuna muendelezo wa special diploma ya science,mathematics, na ict?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…