kuhusu maombi ya mkopo wa bodi

Benice

Member
Joined
Sep 24, 2011
Posts
53
Reaction score
5
Naomba kujuzwa eti bodi ya mikopo tayari wameshatoa form za kuomba mikopo kwa form six leaver??? Nijuavyo huwa wanaanza baada ya matokeo kutoka....ila kuna mtu kaniambia wameanza....msaada wadau kwa mwenye taarifa rasmi
 
Naomba kujuzwa eti bodi ya mikopo tayari wameshatoa form za kuomba mikopo kwa form six leaver??? Nijuavyo huwa wanaanza baada ya matokeo kutoka....ila kuna mtu kaniambia wameanza....msaada wadau kwa mwenye taarifa rasmi

unajaza through online ebu ingia ktk website yao usome maelekezo usiwe mvivu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…