Hizo ni opinion zako,,Eti marioo mashairi hana!!,,like serious??
Marioo anajua..kazi zake ni nzuri
Mi simuelewagi kabisa huyo dogo naonaga kama sauti yake ya kulialia
Wabongo kwa unafiki wanaongoza dunian1. Inatosha
2. Raha
3.Ifunanya
4.Ya uchungu
5. Yale
Halafu anakuja mtu anasema dogo ni overrated [emoji35]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa kwa sasa hakuna msanii anayeweza kuzima moto wa Marioo na mwaka 2020 Mtaona dogo anavyofumua madude
Kwa mboso tu aingii ndaniNi kweli kabisa kwa sasa hakuna msanii anayeweza kuzima moto wa Marioo na mwaka 2020 Mtaona dogo anavyofumua madude