Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,865
- 4,506
Mbosso muimba kaswida??CLOUDS wakiamua kumfanya hata harmorapa awe king wanaweza,yani wanaweza mpamba mtu hadi ukatamani umjue huyo mtu ukimfatlia mtu mwenyewe hamna kitu.
Ni kawaida yao kukuza wasanini kwa style ya kuwa rank kwenye level zitazowafanya wote mtamani kumskia,tunachokifanya hapa kwenye thread ndiyo lengo no.1 la CLOUDS kwa mario,ila huyo bi dogo nikimpa hata Mbosso/killy hamuwezi.
Mboso fundi Sana.Mbosso muimba kaswida??
huyo huyoMbosso muimba kaswida??
anamchukulia juu juuMboso fundi Sana.
Anauandishi mzuri alafu unique, Melody nzuri na vocal Kali uwezi kumfananisha na Mario ni kumkosea adabu mboso Khan.anamchukulia juu juu
Marioo hata Diamond mwenyewe anasubiri
Baraka da prince huyu huyu ambae hajawahi kuandika wimbo hata mmoja nyimbo zote anaandikwa hadi na melody anasaidiwa? Baraka huyu huyu ambae baada ya kugombana na wanaomuandikia kashindwa kuandika wimbo hit song hata mmoja? Baraka huyu huyu anayeimbia puani? Baraka huyuu huyu KWENYE wimbo wa bright alirudia kutaja MOYO WANGU Mara 9?young gun, Kwangu mimi Baraka kamzidi mbali Marioo, kilichompoteza Baraka ni nidhamu ila kipaji anacho
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbosso habadiliki uimbaji wake ule ule nyimbo zile zile,mahadhi Yale Yale,kila siku kachori maandazi nipeepe,nikande nisugue wtf? Ngoma km paranawee,haimbi yule gemu itamshindaMboso fundi Sana.
Mi simuelewagi kabisa huyo dogo naonaga kama sauti yake ya kulialia
Nimeona Marioo anapewa sifa Sana kias cha kufananishwa na Konde Boy pamoja na Alli Kiba na wengine kwenda mbali zaidi kudai kijana anaweza kuwakalisha vibaya mno hao nguli wa mziki.
Binafsi mimi sijamuelewa kivile kiasi cha kumfananisha na Konde Boy au Alli Kiba, sioni Hit Songs za Mariooo za kukimbizana na hawa jamaa. Kjana asije kavimba kichwa kiasii cha kukimbizana nao na kujikuta akiharibu vibaya. Kijana anazidiwa hata na BarackaDaPrince, Aslay, Barnaba Boy, Benpol na wakali wengne kibao.
Ngoma nayoikubali ni moja tu 'Dar Kugumu' na nyingine ameshirikishwa ya Chibonge
Upande wa vocal yupo talented ila kwa mashairi na tone bado
Aslay na jux ni wakali kuliko mariooAcha kumfananisha Marioo na vitu vya ajabu ajabu Kama Baraka Da prince, Aslay na Ben Pol
Ukiachilia mbali wasanii Diamond, Harmonize na Rayvanny,msanii mkali Ni Marioo.