Mkuu inawezekana ikawa kila agent ana bei yake. Kwani yeye huwa anakutajia bei ya kodi tu? yeye hataki kulipwa kwa huduma yake?Na sijui Agent mwaminifi ni yupi make hata ghalama zingine kuacha kodi ni za kupandikiza na ukitaka kujua hilo wewe fanya mawasiliano na Agent zaidi ya wawili, kila mmoja anakuja na ghalama tofauti za Bandalini, utazani kila agent anatozwa ghalama tofauti
Mkuu hii post ni ya zamani sana sijui hata nani kaibua.Mkuu inawezekana ikawa kila agent ana bei yake. Kwani yeye huwa anakutajia bei ya kodi tu? yeye hataki kulipwa kwa huduma yake?
Pia kila mtu na ujanja wake bandarini, wengine wao they dont declare the real quantity of items na wanapenya fresh.
Go for a cheap price, you expose yourself to risks.....
😀 😀 mi huwa natizama new posts tu ndio nikaikuta hii madaMkuu hii post ni ya zamani sana sijui hata nani kaibua.
Nisha agiza sana baada ya hii post so hakuna tatizo kwa sasa.
Mkuu aina zipi ni bora ; nataka kuagiza toka China; kama una uzoefu tafadhaliMkuu hii post ni ya zamani sana sijui hata nani kaibua.
Nisha agiza sana baada ya hii post so hakuna tatizo kwa sasa.
Hizi mashine kwa sasa zipo nyingi tu Bongo. Kuna Wachina wako Ubungo unaweza waona wanazo na ni the same kwa 100%.Mkuu aina zipi ni bora ; nataka kuagiza toka China; kama una uzoefu tafadhali