Babu mchumi
Member
- Jul 5, 2011
- 62
- 11
habari zenu the great thinkers!!
naomba niulize kwa anayefahamu,majibu ya mkopo kwa wanafunzi wanaoendelea(continuous) yatatoka lini,au ndo hakuna tena?kwa sababu yametolewa majibu ya first year pekee
kama walijua hakuna pesa ya continuous kwa nini wasingewakataza wasiombe??hii si ni kama kuwaibia tuu??
kwa anayefahamu naomba anijulishe hili!!
nawasilisha!!
naomba niulize kwa anayefahamu,majibu ya mkopo kwa wanafunzi wanaoendelea(continuous) yatatoka lini,au ndo hakuna tena?kwa sababu yametolewa majibu ya first year pekee
kama walijua hakuna pesa ya continuous kwa nini wasingewakataza wasiombe??hii si ni kama kuwaibia tuu??
kwa anayefahamu naomba anijulishe hili!!
nawasilisha!!