Kwanza update Fb yako hiyo maana inaonekana hiyo ni version ya zamani,, jaribu jaribu kuingia platform zingine tofauti na hiyo fb uone kama zitafunguka au hamna.
Mwisho kabisa angalia kama bando unalo,, maana kama ni data naona hapo iko poa kabisa 🤒 😎