Mbona povu jingi? Nawewe ni mtoto haramu nini? Sasa kwaya na kiti moto vinaingia vipi hapa? Na hizo kaswida zenu mnaimba mpaka shatwain anaburudika mbona sie twakaa kimya tu?Wapi UISLAMU umemuita mtoto wa ZINAA kuwa ni Mtoto wa HARAMU?
Wagalatia km kawaida yenu mnaropoka bila kufikiri.
Na unapouliza Swali jaribu kushirikisha Kichwa japo siku moja.
Toka lini chanzo cha Kuzaliwa kwa mtoto kikahusishwa na Imani yake?
Kwaya na ulaji wa kiti moto vinawadhuru nyie.
Kitabu kilichotaja MTOTO WA HARAMU ni BIBLIA ambacho Kimepiga Marufuku Watoto hawa HATA Kuingia KANISANI (makutano ya Bwana) yeye na KIZAZI CHAKE CHA 10!!
Kumbukumbu la TORATI 23:1-2
1Aliyejeruhika konde, au aliyekatika tupu yake, asiingie mtu huyo katika mkutano wa Bwana.
2 MWANA WA HARAMU asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa Bwana.
NA ktK UISLAMU kauli ya KUDHALILISHA Watoto wa nje ya ndoa Na KUWABAGUWA namna Hii HAKUNA hatta sehemu Moja.
MNashindwa Kuangalia Uchafu Uliomo Kwenu Mnakuja uliza Maswali ya kipuuzi hapa.
Makatonta watu wa ajabu sana.
Mkuu wala usishangae kitu chochote kwa hawa makafiri.Maalim,mimi huwa najiuliza kwani kuwa mgalatia sharti uwe mnafiki na muongo?.
Wamekazana kuukosoa uislamu bila kuujua wakiacha kukemea na kukosoa mambo ya ovyo na udhalilishaji mwingi uliojaa ndani ya biblia yao.
Kwa mfano kumwita mtoto wa nje ya ndoa "mtoto wa haramu" na hata kumzuia kuingia kanisani kwa kosa la wazazi wake hali ya kuwa yeye hausiki hata kwa 1% si udhalilishaji na uonevu huu?.
Hii Waebrania 12:1-2 unaisoma katika mukhutaza hupi, hakuna sehemu yoyote andiko linawataja watoto wa nje ya ndoa.
Pia andiko alimaanishi watoto kimwili,bali ni watoto kiroho.
Hakuna mtoto haramuHakuna mtoto haramu.....
Haramu ni hao waliodunguana
Mi siwezi kushangaa wewe kupigia promo nyamafu. manake kwa Mujibu wa Andiko nyie MMEKULA MPK MAVI ya mwanaadamu.!!Mbona povu jingi? Nawewe ni mtoto haramu nini? Sasa kwaya na kiti moto vinaingia vipi hapa? Na hizo kaswida zenu mnaimba mpaka shatwain anaburudika mbona sie twakaa kimya tu?
Alafu koma kuhusisha kitimoto na maushezi yako, ngoja niweke oda ya kilo moja na ndizi tatu fasta.
Wewe Baba umejawa na udini sijapata ona nafikiri hua unatamani binadamu wote wangekua waislamu ila ndo hivyo sipendi neno kafiri nafikiri we ndo kafiri.Mkuu wala usishangae kitu chochote kwa hawa makafiri.
Uongo, Unafiki na fitna ni moja ktk Ibada zao kubwa sana.
Na siku KAFIRI akiacha UONGO na UNAFIKI basi hachukui muda Anasilimu.
Hawa Wana laana ya ASILI.
Umeniita Baba halafu unanikashifu!Wewe Baba umejawa na udini sijapata ona nafikiri hua unatamani binadamu wote wangekua waislamu ila ndo hivyo sipendi neno kafiri nafikiri we ndo kafiri.
duh. acha tule tu kitimoto sahivi nyie wenzetu mtaenda kula huko peponi maan huko kuna mito ya ulevi na wanawaweke wenye macho kama vikombe...hahaha sijui hao ni watu au majini..Mi siwezi kushangaa wewe kupigia promo nyamafu. manake kwa Mujibu wa Andiko nyie MMEKULA MPK MAVI ya mwanaadamu.!!
Wewe endelea kula Hio nyamafu.
Manake Paulo alishawaambia Kila kinachoingia Sio Haramu bali kitokacho.
kwa andiko hili Nyie mnakula mpk wale Midogi waliogongwa magari. Kikubwa USITAPIKE TU.
Wee endelea na imani zako za kuletwa na meli za waarabu na wazungu.Mi siwezi kushangaa wewe kupigia promo nyamafu. manake kwa Mujibu wa Andiko nyie MMEKULA MPK MAVI ya mwanaadamu.!!
Wewe endelea kula Hio nyamafu.
Manake Paulo alishawaambia Kila kinachoingia Sio Haramu bali kitokacho.
kwa andiko hili Nyie mnakula mpk wale Midogi waliogongwa magari. Kikubwa USITAPIKE TU.
Wee endelea na imani zako za kuletwa na meli za waarabu na wazungu.
Yaani kwenye maada kama hizi hua unashupaaa, kwani kulikua na kosa gani kumwambia kwenye uislamu wenu hakuna haramu sasa umeshupaa kusoma vifungu vya biblia utafikiri mchungaji? Haya nimekuelewa kafiri.Umeniita Baba halafu unanikashifu!
Dah..
We mwanangu machachari kweli kweli.
Teh teh teh teh
Halafu UKAFIRI ni Cheo mwanangu sio kashfa.
Na kina sifa zake.
Na huyu Muanzisha Uzi ni Mmoja wa Ile Familia ya MAKAFIRI hapa Duniani.
Au wewe ulikuwa hujui km UKAFIRI ni Cheo mwanangu?
Teh teh teh.Yaani kwenye maada kama hizi hua unashupaaa, kwani kulikua na kosa gani kumwambia kwenye uislamu wenu hakuna haramu sasa umeshupaa kusoma vifungu vya biblia utafikiri mchungaji? Haya nimekuelewa kafiri.
nimeisoma ila si kila liloandikwa ni la kukubaliana nalo..
Wanao tumia ni waislamu zaidi kiuhalisiaNi vyema umekuwa mkweli na kukiri kutokukubaliana na kila liandikwalo kwenye Biblia, kwani hayo yamo ndani ya Biblia na kahtaan kaweka open challenge kuwa hutoyakuta hayo kwenye Qur'an, na mpaka sasa hakuna aliyekuja na aya yoyote ile kuhusu hilo.
Cha kushangaza, maneno na udhalilishaji huo upo ndani ya Biblia lakini wanatuhumiwa Waislam!