Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Wakuu!
Naomba nijifunze hapa na wenzangu, maisha ya kila siku yanaongozwa na sheria. Iwe ni sheria za asili, au hizi sheria za kikatiba.
Ni kawaida kusikia familia fulani, acha kampuni, ina mwanasheria wake. Bila shaka ni mtatuzi kwa mambo ya kisheria, ila naomba nijue machache kumhusu.
1. Kwa shughuli za kila siku za familia (ukiacha mirathi na talaka ambazo ni endings) anahusikaje?
2. Anakuwa wa familia moja pekee au anaweza kusimamia familia kadhaa?
3. Ni zipi sifa za familia kuhitaji mwanasheria?
4. Kama sio mtu wa matukio.....
5. ..................
Karibuni tujifunze, wengine wataongezea.
Ncha Kali.
Naomba nijifunze hapa na wenzangu, maisha ya kila siku yanaongozwa na sheria. Iwe ni sheria za asili, au hizi sheria za kikatiba.
Ni kawaida kusikia familia fulani, acha kampuni, ina mwanasheria wake. Bila shaka ni mtatuzi kwa mambo ya kisheria, ila naomba nijue machache kumhusu.
1. Kwa shughuli za kila siku za familia (ukiacha mirathi na talaka ambazo ni endings) anahusikaje?
2. Anakuwa wa familia moja pekee au anaweza kusimamia familia kadhaa?
3. Ni zipi sifa za familia kuhitaji mwanasheria?
4. Kama sio mtu wa matukio.....
5. ..................
Karibuni tujifunze, wengine wataongezea.
Ncha Kali.