Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,319
Tumesikia Serikali ya Uganda ikiwekewa vikwazo na inayoitwa jumuiya ya kimataifa kwa kuweka sheria inayoharamisha ndoa na vitendo vya mapenzi ya jinsia moja. Serikali ya Uingerza pia imetangaza kuwa kukemea ushoga hadharani ni kosa kama la ugaidi.
Wanaharakati wa kiafrika walipongeza hatua ya nchi zilizopinga vitendo hivi, pia kulaani wanaounga mkono. Hapa kwetu baadhi ya wadau walitaka Serikali yetu itoe tamko kuhusu vitisho vya kimataifa kuhusu ndoa hizi za jinsia moja.
Kabla ya matamko au kutunga sheria mpya, ningependa kufahamu katiba yetu ya sasa inasemaje kuhusu ndoa hizi na mahusiano/mapenzi ya jinsi moja kwa ujumla.
Naomba mchango wenu wataalamu wa sheria na wadau wa jukwaa hili.
Wanaharakati wa kiafrika walipongeza hatua ya nchi zilizopinga vitendo hivi, pia kulaani wanaounga mkono. Hapa kwetu baadhi ya wadau walitaka Serikali yetu itoe tamko kuhusu vitisho vya kimataifa kuhusu ndoa hizi za jinsia moja.
Kabla ya matamko au kutunga sheria mpya, ningependa kufahamu katiba yetu ya sasa inasemaje kuhusu ndoa hizi na mahusiano/mapenzi ya jinsi moja kwa ujumla.
Naomba mchango wenu wataalamu wa sheria na wadau wa jukwaa hili.