Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
HahahaaBado wanasubiria point 3 za Fifa hahaha
Nyinyi wadhalilisha nchi kimataifa mnalihitaji tena jeshi la watu 9 litawaua
RAJA CASABLANCA VS YOUNG AFRICAN 6-0 1996No research no right to speak.
Recreativo do Libolo 4 - 0 Simba Match preview - 3/3/13 CAF Champions League - Goal.com
NAONA MMESAHAU BAKURI LENU LETENI TUWACHANGIE COZ NAONA MNAONGEA XANA RAGE RAGE NAONA KASHAKUWA M/KITI WENU BADALA YA YULE TEJA WENU KAMA MNAMHITAJI RAGE MNAWEZA KUMCHUKUAUnadhami mikia wanakumbukua kua waliongea iyo habari?wao kama kuku wanasahau haraka huwezi amini utawaona uwanjani na usiwaulize kwa nini wanacheza na Yanga watang'oa viti hee hee heee Manara ndio kawashikia akili hakika Rage alikua sahihi.