Kuhusu payoneer

Zx5

Member
Joined
Oct 6, 2018
Posts
6
Reaction score
1
Vp wakuu? Nauliza kama kuna mzoefu wa kutumia payoneer, ntaweza vp kuzitoa pesa kwenye card hii nikiwa apa tz?
 
umeshatumiwa kadi ya payoneer? Kama ndio, ile ni mastercard unaweza kutoa atm yoyote tu. Au unaweza ukaingia kwenye akaunti yako na kuweka taarifa za benki na ikatumwa moja kwa moja kwenye akaunti yako ya benki.
 
Nimekua natumia Payoneer muda sasa..... Nambie ulishafanikiwa kutoa pesa toka kwa Payoneer account yako?
 
Nimekua natumia Payoneer muda sasa..... Nambie ulishafanikiwa kutoa pesa toka kwa Payoneer account yako?
Mkuu naomba ufafanuzi wa hii payoneer card namna ya kuipata na matumizi yake kwa hapa kwetu,pia namna ya kuweka fedha. Na hela zinakuwa ni fomu ya Kitanzania (Tshs) au inakuwa kidoladola[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naomba ufafanuzi wa hii payoneer card namna ya kuipata na matumizi yake kwa hapa kwetu,pia namna ya kuweka fedha. Na hela zinakuwa ni fomu ya Kitanzania (Tshs) au inakuwa kidoladola[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Maswali yako na Majibu na Maswali mengine ambayo hujauliza yamejibiwa Vizuri kwenye Uzi wangu hapo chini...Ukiupitia utaelewa zaidi kuliko kukujibu swali moja moja hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…