Kuhusu Postgraduate Diploma in Education (PGDE)

Kuhusu Postgraduate Diploma in Education (PGDE)

AGAPE BOY

Senior Member
Joined
May 24, 2015
Posts
194
Reaction score
159
Kwanza poleni na majukmu,

Zingatia title ya uzi hapo juu,, kiufupi hii ni kozi ya mwaka mmoja ambayo mara nyingi inachukua wale ambao wamemaliza bachelor degree zao tofauti na education na wanataka waingie hasa kwenye taaluma hii ya kufundisha, kwa mujibu wa TCU mafunzo utakayopata yatakuwa level sawa na aliyesoma bachelor degree in education!!

Zipo zinazotolewa online, zipo za jioni tu na zipo zinazotolewa darasani,,,

Natamani sana kuchukua hii kozi na nawaza kuchukua hii ambayo iko delivered online ila wasiwasi wangu ni kwamba yawezekana hii ya online labda ikawa haina uzito sana sawa na ya kukaa darasani...

Kwa mliopitia hizi labda mnaweza mkashare experiences na mimi mnikwamue!!!

Nawasilisha[emoji1609]
 
Kwanza poleni na majukmu,

Zingatia title ya uzi hapo juu,, kiufupi hii ni kozi ya mwaka mmoja ambayo mara nyingi inachukua wale ambao wamemaliza bachelor degree zao tofauti na education na wanataka waingie hasa kwenye taaluma hii ya kufundisha, kwa mujibu wa TCU mafunzo utakayopata yatakuwa level sawa na aliyesoma bachelor degree in education!!

Zipo zinazotolewa online, zipo za jioni tu na zipo zinazotolewa darasani,,,

Natamani sana kuchukua hii kozi na nawaza kuchukua hii ambayo iko delivered online ila wasiwasi wangu ni kwamba yawezekana hii ya online labda ikawa haina uzito sana sawa na ya kukaa darasani...

Kwa mliopitia hizi labda mnaweza mkashare experiences na mimi mnikwamue!!!

Nawasilisha[emoji1609]
Kama unahitaji kuwa mwalimu nakushauri nenda kaanze upya either bachelor au diploma cuz hii Postgraduate of education haitakusaidia wew kuwa mwalimu unaweza pangiwa ajira na serikali kupitia hyo Postgraduate ukifika kureport ukashindwa kuthibitishwa kazini sababu wewe unakuwa sio mwalimu.

Mtu asome Postgraduate kwa lengo either anampango wa kuajiliwa na mashirika nje ya taaluma yake sababu serikali inatambua degree only kama professional ya mtu na sio Postgraduate,

Pili mtu asome postgraduate kama added advantage ya kujoin masters degree.

Karbu kwa maswali

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Kama unahitaji kuwa mwalimu nakushauri nenda kaanze upya either bachelor au diploma cuz hii Postgraduate of education haitakusaidia wew kuwa mwalimu unaweza pangiwa ajira na serikali kupitia hyo Postgraduate ukifika kureport ukashindwa kuthibitishwa kazini sababu wewe unakuwa sio mwalimu.

Mtu asome Postgraduate kwa lengo either anampango wa kuajiliwa na mashirika nje ya taaluma yake sababu serikali inatambua degree only kama professional ya mtu na sio Postgraduate,

Pili mtu asome postgraduate kama added advantage ya kujoin masters degree.

Karbu kwa maswali

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Lakini pia kuna hii ya kuwa mkufunzi hasa vyuo vya kati naona kama hii course ina matter,, ukiachana na hizi ajira za walimu mashuleni

hapo unashauri nini??
 
Kama unahitaji kuwa mwalimu nakushauri nenda kaanze upya either bachelor au diploma cuz hii Postgraduate of education haitakusaidia wew kuwa mwalimu unaweza pangiwa ajira na serikali kupitia hyo Postgraduate ukifika kureport ukashindwa kuthibitishwa kazini sababu wewe unakuwa sio mwalimu.

Mtu asome Postgraduate kwa lengo either anampango wa kuajiliwa na mashirika nje ya taaluma yake sababu serikali inatambua degree only kama professional ya mtu na sio Postgraduate,

Pili mtu asome postgraduate kama added advantage ya kujoin masters degree.

Karbu kwa maswali

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Acha uongo..kuna watu wengi tu kwa sasa walimu wapo makazini walipiga hizo postgraduate za ualimu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mode ya delivery kuwa online/ Class sio issue. issue ni ni chuo kinachotoa kiwe reputable

BTW. una bachelor ya kitu gani?
Mbiologia kitaaluma,,, na nimewaza hivyo kwa sababu Masters inahitaji pesa ndefu kidogo ukilinganisha na hii, so kwa kipindi ambacho naweza mudu hii nawaza labada niongeze hii then kama milango itafunguka huko mbele bas ntaongeza na masters,,,
 
Acha uongo..kuna watu wengi tu kwa sasa walimu wapo makazini walipiga hizo postgraduate za ualimu.

#MaendeleoHayanaChama
Naongea kitu nacho kijua mkuu waliofanikiwa kuwa makazini n wale zamani na wenyew n wachache sana walio penya na kupewa barua ya uthibitisho wa ajira things are not easy as you think

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Lakini pia kuna hii ya kuwa mkufunzi hasa vyuo vya kati naona kama hii course ina matter,, ukiachana na hizi ajira za walimu mashuleni

hapo unashauri nini??
Kwa hiyo unataka sema wale ma profesa wa sua, udsm, mzumbe nk wamesoma hiyo kozi?
 
Mbiologia kitaaluma,,, na nimewaza hivyo kwa sababu Masters inahitaji pesa ndefu kidogo ukilinganisha na hii, so kwa kipindi ambacho naweza mudu hii nawaza labada niongeze hii then kama milango itafunguka huko mbele bas ntaongeza na masters,,,
Unapoteza muda kijana!
 
Kwanza poleni na majukmu,

Zingatia title ya uzi hapo juu,, kiufupi hii ni kozi ya mwaka mmoja ambayo mara nyingi inachukua wale ambao wamemaliza bachelor degree zao tofauti na education na wanataka waingie hasa kwenye taaluma hii ya kufundisha, kwa mujibu wa TCU mafunzo utakayopata yatakuwa level sawa na aliyesoma bachelor degree in education!!

Zipo zinazotolewa online, zipo za jioni tu na zipo zinazotolewa darasani,,,

Natamani sana kuchukua hii kozi na nawaza kuchukua hii ambayo iko delivered online ila wasiwasi wangu ni kwamba yawezekana hii ya online labda ikawa haina uzito sana sawa na ya kukaa darasani...

Kwa mliopitia hizi labda mnaweza mkashare experiences na mimi mnikwamue!!!

Nawasilisha[emoji1609]
Hapa nnacho kiaona ni kwamba wewe ni mtu usiye na malengo na usiye na plan za muda mrefu. Pia wenda hata chuo ulienda "just for the sake of it" yaani uonekane umeenda chuo!

Swali 1. Kama ulitaka kuwa mwalim kwanini ulienda kusoma bioloji? Kwanini hukusoma ualimu tokea awali?

Swali 2. Je ukisoma hiyo kozi unayo taka kusoma alafu na hiyo ajira ukaikosa utafanyaje? Maana kazi ya post graduate degree ni kukuwezesha usoma masters ambayo labda huna vigezo vya kuisoma na sio kukubadilishia kozi ya awali!

Kama post grad degree ingekua inakubadilishia degree ya awali wenda ungeona watu wa socialogy wakienda muhimbili kusoma MD.

Ninachomaanisha ni kwamba degree inayo determine utaalamu wako sio postgrad degree bali ni bachela degree.

Swali 3. Kama lengo lako ni kusoma masters lakin kwa sasa huna uwezo je kwann usijikusanye ukasoma masters unayo itaka? Lakini hata ukienda kusoma masters tutakuuliza kwann unataka kusoma masters? Upande cheo? Utapandaje cheo wakati huna ajira?

Swali 4. Kuliko kwenda na hiyo route unayo itaka ambayo hata wewe deep down unajua sio malengo yako, kwanini usitumie hiyo ela kufanya issue nyingine ya kukuongezea kipato?
 
Hapa nnacho kiaona ni kwamba wewe ni mtu usiye na malengo na usiye na plan za muda mrefu. Pia wenda hata chuo ulienda "just for the sake of it" yaani uonekane umeenda chuo!

Swali 1. Kama ulitaka kuwa mwalim kwanini ulienda kusoma bioloji? Kwanini hukusoma ualimu tokea awali?

Swali 2. Je ukisoma hiyo kozi unayo taka kusoma alafu na hiyo ajira ukaikosa utafanyaje? Maana kazi ya post graduate degree ni kukuwezesha usoma masters ambayo labda huna vigezo vya kuisoma na sio kukubadilishia kozi ya awali!

Kama post grad degree ingekua inakubadilishia degree ya awali wenda ungeona watu wa socialogy wakienda muhimbili kusoma MD.

Ninachomaanisha ni kwamba degree inayo determine utaalamu wako sio postgrad degree bali ni bachela degree.

Swali 3. Kama lengo lako ni kusoma masters lakin kwa sasa huna uwezo je kwann usijikusanye ukasoma masters unayo itaka? Lakini hata ukienda kusoma masters tutakuuliza kwann unataka kusoma masters? Upande cheo? Utapandaje cheo wakati huna ajira?

Swali 4. Kuliko kwenda na hiyo route unayo itaka ambayo hata wewe deep down unajua sio malengo yako, kwanini usitumie hiyo ela kufanya issue nyingine ya kukuongezea kipato?
Nlitoa mawazo kama haya anatokea mtu anampotosha kijana eti sis waongo safi mkuu umepigilia mule mule

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Hapa nnacho kiaona ni kwamba wewe ni mtu usiye na malengo na usiye na plan za muda mrefu. Pia wenda hata chuo ulienda "just for the sake of it" yaani uonekane umeenda chuo!

Swali 1. Kama ulitaka kuwa mwalim kwanini ulienda kusoma bioloji? Kwanini hukusoma ualimu tokea awali?

Swali 2. Je ukisoma hiyo kozi unayo taka kusoma alafu na hiyo ajira ukaikosa utafanyaje? Maana kazi ya post graduate degree ni kukuwezesha usoma masters ambayo labda huna vigezo vya kuisoma na sio kukubadilishia kozi ya awali!

Kama post grad degree ingekua inakubadilishia degree ya awali wenda ungeona watu wa socialogy wakienda muhimbili kusoma MD.

Ninachomaanisha ni kwamba degree inayo determine utaalamu wako sio postgrad degree bali ni bachela degree.

Swali 3. Kama lengo lako ni kusoma masters lakin kwa sasa huna uwezo je kwann usijikusanye ukasoma masters unayo itaka? Lakini hata ukienda kusoma masters tutakuuliza kwann unataka kusoma masters? Upande cheo? Utapandaje cheo wakati huna ajira?

Swali 4. Kuliko kwenda na hiyo route unayo itaka ambayo hata wewe deep down unajua sio malengo yako, kwanini usitumie hiyo ela kufanya issue nyingine ya kukuongezea kipato?
Si kila anaesoma masters anataka kupanda cheo mkuu,, wengine wako nje kabisaa ya mfumo lakini bado wanataka kusoma hadi PhD...

Jaribu kufikili nje ya box
 
Niulize Mimi nimesoma postgraduate diploma na nimeajiriwa since 2015 as mwalimu wa serikali, nimethibitishwa na nimepandishwa daraj nipo Daraja E
 
Back
Top Bottom