Pierre2017 Member Joined Apr 16, 2019 Posts 48 Reaction score 28 Jun 28, 2019 #1 Habari,naomba kuuliza noti moja ya kwacha 20,000 ya zambia n sawa na tsh ngapi ya kitanzania!?? Attachments IMG_20190622_104827.jpg 285.1 KB · Views: 31
mwagito25 JF-Expert Member Joined Aug 11, 2013 Posts 633 Reaction score 352 Jun 28, 2019 #2 Haizidi 8000 tsh
platozoom JF-Expert Member Joined Jan 24, 2012 Posts 9,424 Reaction score 11,320 Jun 28, 2019 #3 Mhh, mbona noti za zamani hizo. Sidhani kama bado ipo kwenye mzunguko
BangiNyeusi JF-Expert Member Joined Jul 14, 2016 Posts 490 Reaction score 591 Jun 28, 2019 #4 1 kwacha n kama tsh 170
kenzeva mbatizaji Member Joined Jan 25, 2019 Posts 76 Reaction score 41 Jun 28, 2019 #5 Pierre2017 said: Habari,naomba kuuliza noti moja ya kwacha 20,000 ya zambia n sawa na tsh ngapi ya kitanzania!?? Click to expand... 3600
Pierre2017 said: Habari,naomba kuuliza noti moja ya kwacha 20,000 ya zambia n sawa na tsh ngapi ya kitanzania!?? Click to expand... 3600
BangiNyeusi JF-Expert Member Joined Jul 14, 2016 Posts 490 Reaction score 591 Jun 29, 2019 #6 kenzeva mbatizaji said: 3600 Click to expand... Kwa rate ya lini?
Kigorohe Senior Member Joined May 21, 2019 Posts 160 Reaction score 255 Jun 29, 2019 #7 Jipatie vocha ya bure yenye Thamani ya Tsh 5000+ pindi unapo jiunga kupitia link hii https://jamiiforums.com/TaZpAeHdTX
Jipatie vocha ya bure yenye Thamani ya Tsh 5000+ pindi unapo jiunga kupitia link hii https://jamiiforums.com/TaZpAeHdTX
Mdomo bakuli JF-Expert Member Joined Jan 7, 2017 Posts 3,442 Reaction score 7,007 Jun 29, 2019 #8 Mkuu hizo ni za kitambo sana zishabadilishwa na hiyo haina thamani kabisa
S siyumwe Senior Member Joined Apr 10, 2017 Posts 152 Reaction score 134 Jun 29, 2019 #9 Hiyo ilikua ya zamani sana kwa sasa hiyo haitumiki..unapozungumzia 20000 ya zambia ya saiv tz ni 3.5 million
Hiyo ilikua ya zamani sana kwa sasa hiyo haitumiki..unapozungumzia 20000 ya zambia ya saiv tz ni 3.5 million
Pierre2017 Member Joined Apr 16, 2019 Posts 48 Reaction score 28 Jul 1, 2019 Thread starter #10 Ok..kumbe hii haitumiki sahv maana nimeenda kwenye exchange rate mtandaoni naona ni 3... ml,sasa wengine wananiambia haizidi elfu 5 ko nkawa sielew
Ok..kumbe hii haitumiki sahv maana nimeenda kwenye exchange rate mtandaoni naona ni 3... ml,sasa wengine wananiambia haizidi elfu 5 ko nkawa sielew