Kuhusu registration chuo cha Ardhi

d_9

Member
Joined
Sep 14, 2014
Posts
17
Reaction score
1
Note that only those who have paid at least 50% of the necessary fees will be allowed to register. Registration of first year students will be closed formally on Friday, 24th October, 2014.

Swali langu ni moja tu mimi naeongejea HESLB haya malipo nayafanya mwenyewe au?
 
aisee hata mm sielew hapo ardh inakuaje tutalipa vp hivyo?
 
Hulipi....board watalipa fee....wewe utalipa direct cost ambazo ni lazima ulipe zote...

Check web ya aru utaona hizo cost...hazifiki 150000.
 
Mtakaopata mkopo majina yenu hata yatangazwe, chuo mnayakuta so kama una 100% hutalipa kabisa ada ila kama una 90% it means 10% ya ada unalipa wewe so utapaswa ulipe atleast 50% ya hiyo 10% unayopaswa kulipa ndo uwe registered.
 
Hulipi....board watalipa fee....wewe utalipa direct cost ambazo ni lazima ulipe zote...

Check web ya aru utaona hizo cost...hazifiki 150000.

Hapo nimepata mwanga. Shukran
 
Pia kwa Ardhi kuna Admission fee ambayo lazima mlipie (whether una mkopo au hauna) kila mwanafunzi kwa mwaka,,Last year ilkua kwenye 79K iv
 
Pia swala la accommodation likoje apo ardhi?
 
accomodation huwa mnapangiwa sema ziko limited yaani ni bahati kupata pia meaning kuna wengi huwa wanakosa,kuna hostel chuo na Mpakani karibu na Mwenge d_9
 
Last edited by a moderator:
Gharama ya hizo hostel zikoje? Vonmbusi
 
Last edited by a moderator:
120k per semester,,sema pipo huwa zinabebana,kama ukikosa unaweza kubebwa na wenzio kijana na maisha yakasonga d_9
 
Last edited by a moderator:
accomodation huwa mnapangiwa sema ziko limited yaani ni bahati kupata pia meaning kuna wengi huwa wanakosa,kuna hostel chuo na Mpakani karibu na Mwenge d_9

Hostel za savei plaza zishafungwa bana
 
Last edited by a moderator:
Kama ndo hivyo hakuna nyingine karibu na chuo? PARRIE KIJIKO
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…