Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
1. Waziri
2. IGP
3. DG wa Teeth
4. Sa100 mwenyewe
5......n.k
hivi kweli wameshindwa kukamata mzizi wa hiki kitu hadi wananchi wachukue sheria mkononi? samia ameona yule mzanzibari mwenzie mambo ya ndani anatosha sana kwenye mazingira kama haya kiasi kwamba nape na makamba ndio walishindwa kazi kuliko huyu jamaa? kweli? kweli?
Nchi ina jeshi, ina polisi, ina usalama wa taifa, ina kila kitu, wanapokea mishahara ya kodi za wananchi, halafu watu washindwe kufanya hata kazi wanawaza watoto wao wasijetekwa?
Juzi hapa kuna clip ya mtoto wa Kitanzania miaka kama 5 wa kike alikamatwa na polisi malawi, ametelekezwa, anasema kuna mtu alimchukua hajui anampeleka wapi.
Jana South Africa wameonyesha clip mafurushi ukilifungua kuna mtoto mzima kajikunja anasafirishwa kama magimbi kwenye salfeti, INASEMEKANA WANAPELEKWA KWENYE UCHIMBAJI MADINI HUKO KWA MADIBA, wengine wanaondolewa viungo na kuuzwa, wengine wanatolewa makafara ya kuchinjwa n.k
Inakuwaje hii issue iwe kubwa Tanzania ila Kenya, Uganda, Malawi, Zambia haipo? Tanzania kuna nini, uchochoro gani au na ninyi ni wahusika mnaona msijewachongea watu wenu?
2. IGP
3. DG wa Teeth
4. Sa100 mwenyewe
5......n.k
hivi kweli wameshindwa kukamata mzizi wa hiki kitu hadi wananchi wachukue sheria mkononi? samia ameona yule mzanzibari mwenzie mambo ya ndani anatosha sana kwenye mazingira kama haya kiasi kwamba nape na makamba ndio walishindwa kazi kuliko huyu jamaa? kweli? kweli?
Nchi ina jeshi, ina polisi, ina usalama wa taifa, ina kila kitu, wanapokea mishahara ya kodi za wananchi, halafu watu washindwe kufanya hata kazi wanawaza watoto wao wasijetekwa?
Juzi hapa kuna clip ya mtoto wa Kitanzania miaka kama 5 wa kike alikamatwa na polisi malawi, ametelekezwa, anasema kuna mtu alimchukua hajui anampeleka wapi.
Jana South Africa wameonyesha clip mafurushi ukilifungua kuna mtoto mzima kajikunja anasafirishwa kama magimbi kwenye salfeti, INASEMEKANA WANAPELEKWA KWENYE UCHIMBAJI MADINI HUKO KWA MADIBA, wengine wanaondolewa viungo na kuuzwa, wengine wanatolewa makafara ya kuchinjwa n.k
Inakuwaje hii issue iwe kubwa Tanzania ila Kenya, Uganda, Malawi, Zambia haipo? Tanzania kuna nini, uchochoro gani au na ninyi ni wahusika mnaona msijewachongea watu wenu?