jikuTech
Senior Member
- Apr 9, 2023
- 108
- 159
Kuna mtu alisema ukitaka kutatua tatizo kubali kwanza kwamba lipoo
Na hili ni tatizo tayar lipo
Nije na ushahidi kwamba mfano huko nchi kama marekani watu hawa somi hii taaluma ili kuajiliwa na serikali kwa asilimia kubwa
Wanasoma kozi hii ili kuajiliwa na makampuni binafsi kama Google, Facebook, Tesla, na makampuni mengine ambayo hatuyajui
Kitu kinachofanya wanafunzi kutafuta elimu bora inapatikana wapi haijalishi ni serikalini au ni Udemy au ni street code camp ili tu kuwa na viwango kama vinavyo hitajika na makampuni na sio taasisi za serikali
Kitu kina pelekea hata vyuo vya kiserikali ku shape mutaala yao kwa mahitaji ya makampuni au kulingana na wakati
Na bila kufanya hivyo huenda wanafunzi wangekuwa wachache kwenye vyuo hivyo
Na hata interview zao ni tofauti kidogo
Kibongo wanatazama vyeti tu , na siyo uwezo wa mtu japo cheti ndio ushahidi wa uwezo wa mtu ili vyeti vya kibongo ubora wa mtu upo wa aina 2
Ushauri wangu kwa yeyote alinufaika na TEHAMA asiache kutoa ushuhuda hadhalabi ili angalau kuamsha ufuatiliaji wa habari hizi kwa watu wengine wanaotamani kuingia huku
Mimi ni Programmer niliye jitengeneza kwa msaada wa bando la Internet
Na Sasa ni Mwalimu wa Development kwa kiwango cha PHP, MYSQL NA JAVA kwa watu wanao jitambua tu.
yaan Web Development na Android Development
Huwa napatikana jwa namba 0682329852 masaa 24
Ukiwa kwenye google ukaandika Jiku Tech Tips utaona content zangu kutoka platform mbalimbali
Mimi yangu ni hayo
Na hili ni tatizo tayar lipo
Nije na ushahidi kwamba mfano huko nchi kama marekani watu hawa somi hii taaluma ili kuajiliwa na serikali kwa asilimia kubwa
Wanasoma kozi hii ili kuajiliwa na makampuni binafsi kama Google, Facebook, Tesla, na makampuni mengine ambayo hatuyajui
Kitu kinachofanya wanafunzi kutafuta elimu bora inapatikana wapi haijalishi ni serikalini au ni Udemy au ni street code camp ili tu kuwa na viwango kama vinavyo hitajika na makampuni na sio taasisi za serikali
Kitu kina pelekea hata vyuo vya kiserikali ku shape mutaala yao kwa mahitaji ya makampuni au kulingana na wakati
Na bila kufanya hivyo huenda wanafunzi wangekuwa wachache kwenye vyuo hivyo
Na hata interview zao ni tofauti kidogo
Kibongo wanatazama vyeti tu , na siyo uwezo wa mtu japo cheti ndio ushahidi wa uwezo wa mtu ili vyeti vya kibongo ubora wa mtu upo wa aina 2
Ushauri wangu kwa yeyote alinufaika na TEHAMA asiache kutoa ushuhuda hadhalabi ili angalau kuamsha ufuatiliaji wa habari hizi kwa watu wengine wanaotamani kuingia huku
Mimi ni Programmer niliye jitengeneza kwa msaada wa bando la Internet
Na Sasa ni Mwalimu wa Development kwa kiwango cha PHP, MYSQL NA JAVA kwa watu wanao jitambua tu.
yaan Web Development na Android Development
Huwa napatikana jwa namba 0682329852 masaa 24
Ukiwa kwenye google ukaandika Jiku Tech Tips utaona content zangu kutoka platform mbalimbali
Mimi yangu ni hayo