Kuhusu TCRA na huduma za internet bundle mitandao mbalimbali: Mbona haiko kama tulivyoambiwa?

Kuhusu TCRA na huduma za internet bundle mitandao mbalimbali: Mbona haiko kama tulivyoambiwa?

The Palm Tree

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
7,951
Reaction score
12,541
Kwenu TCRA na waziri wa mawasiliano na uchukuzi, mbona mambo hayako kama ambavyo mlitaka tuamini kuwa yatakuwa?

1. Gharama ya bundle bado zinatofautiana kutoka mtandao mmoja na mwingine japo mlisema mnaweka uniformity (Sera ya Ujamaa na Kujitegemea)

2. Hakuna kushea bando kama ambavyo mlituaminisha wananchi kuwa mnakuja na kanuni hiyo ya kuruhusu watu kupasiana mabando. Ni mtandao wa HALOTEL pekee wana option hiyo ktk main MENU yao.

Screenshot_20210524-105248.png


Hao hapo juu (screen shot) ni Halotel. Namba 9 "Tunashea Bando" inaruhusu kumgawia mwezio bando la Internet pekee, lakini hawana option ya kushea muda wa maongezo...

Kwa upande wa Vodacom hawana option hiyo. Mambo ni kama zamani tu. Tazama screen shot MAIN MENU ya Vodacom, hawana ishu ya "kushea bando".

Screenshot_20210524-105319.png


Huko TIGO, AIRTEL, TTCL, ZANTEL hata sijui labda kama kuna anayejua anaweza kushea nasi.
 
Yaani hamna kitu - ni wizi kwa kwenda mbele. TIGO ndo kabisa useseme watu wanalalamika - Big Fish kimya kama haiwahusu.
 
Vodacom ipo ingia kwenye kununua internet alafu internet special wanaita Wezesha bando.Sema wameificha mpaka upekenyue sana 🤣
 
Kwenu TCRA na waziri wa mawasiliano na uchukuzi, mbona mambo hayako kama ambavyo mlitaka tuamini kuwa yatakuwa?

1. Gharama ya bundle bado zinatofautiana kutoka mtandao mmoja na mwingine japo mlisema mnaweka uniformity (Sera ya Ujamaa na Kujitegemea)

2. Hakuna kushea bando kama ambavyo mlituaminisha wananchi kuwa mnakuja na kanuni hiyo ya kuruhusu watu kupasiana mabando. Ni mtandao wa HALOTEL pekee wana option hiyo ktk main MENU yao.

View attachment 1796009

Hao hapo juu (screen shot) ni Halotel. Namba 9 "Tunashea Bando" inaruhusu kumgawia mwezio bando la Internet pekee, lakini hawana option ya kushea muda wa maongezo...

Kwa upande wa Vodacom hawana option hiyo. Mambo ni kama zamani tu. Tazama screen shot MAIN MENU ya Vodacom, hawana ishu ya "kushea bando".

View attachment 1796015

Huko TIGO, AIRTEL, TTCL, ZANTEL hata sijui labda kama kuna anayejua anaweza kushea nasi.
TCRA nao ni takataka kama makampuni yenyewe. Hakuna kitu pale ..
 
Vodacom ipo ingia kwenye kununua internet alafu internet special wanaita Wezesha bando.Sema wameificha mpaka upekenyue sana [emoji1787]
vodacom ndio michezo yao.
service ambazo zinampa unafuu mteja huwa wanazificha sana kwenye menu yao. they do this purposely.
 
Kwenu TCRA na waziri wa mawasiliano na uchukuzi, mbona mambo hayako kama ambavyo mlitaka tuamini kuwa yatakuwa?

1. Gharama ya bundle bado zinatofautiana kutoka mtandao mmoja na mwingine japo mlisema mnaweka uniformity (Sera ya Ujamaa na Kujitegemea)

2. Hakuna kushea bando kama ambavyo mlituaminisha wananchi kuwa mnakuja na kanuni hiyo ya kuruhusu watu kupasiana mabando. Ni mtandao wa HALOTEL pekee wana option hiyo ktk main MENU yao.

View attachment 1796009

Hao hapo juu (screen shot) ni Halotel. Namba 9 "Tunashea Bando" inaruhusu kumgawia mwezio bando la Internet pekee, lakini hawana option ya kushea muda wa maongezo...

Kwa upande wa Vodacom hawana option hiyo. Mambo ni kama zamani tu. Tazama screen shot MAIN MENU ya Vodacom, hawana ishu ya "kushea bando".

View attachment 1796015

Huko TIGO, AIRTEL, TTCL, ZANTEL hata sijui labda kama kuna anayejua anaweza kushea nasi.
Mitandao bora ni Airtel na TTCL pekee.
 
Back
Top Bottom