Kuhusu ualimu

Vannesa

Member
Joined
Jun 3, 2014
Posts
49
Reaction score
5
Jamani samahani kwa hili,ni mdogo wangu anaulizia kuhusu majina ya watakaochaguliwa ualimu 2014/2015 yatatangazwa lini?
Kwa anaejua,#nakuomba unijulishe,
http://www.moe.go.tz
 
Asubili wakati wowote kuazia sasa kwani mwisho wa maombi ilikua may 30 na wataitajika vyuoni july mwanzoni.
 
Nao wameshtuka siku hizi kuchukua DIv IV
hakikisha ana Point kuanzia 23 ya Div IV nagalau kuja Div III na II
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…