Nilikuwa naomba kuuliza kwamba mtu akipata huu ugonjwa (RED EYES) kisha akatumia dawa na kupona kuna uwezekano akaupata tena endapo atakaa karibu na mgonjwa mwenye nao? Plz mwenye kufahamu naomba majibu...
no unategemeana na kinga zako mwlini kuna mwingine akiupata hapati tena ugonjwa huo na kuna mtu yeye kila mwaka anao so simple and clear so ww mwenyewe na usiwanyanyapae watu kama hao
no unategemeana na kinga zako mwlini kuna mwingine akiupata hapati tena ugonjwa huo na kuna mtu yeye kila mwaka anao so simple and clear so ww mwenyewe na usiwanyanyapae watu kama hao